zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,875
- 1,216
Mbunge Machachari Wa Chama cha demokrasia na Maendeleo(chadema) ata unguruma leo katika viwanja vya kimara mwisho kuanzia Saa nane mchana.
Wakati huo huo wakazi wafanyabiasha maeneo ya soko la kimara kuelekea king'ongo wakiwa katika kuti kavu baada ya kupewa siku hadi mwisho wa mwezi kuhamisha au kutofanya biashara maeneo hayo.
Swali langu kama hilo eneo si halali kwanini serikali ya mtaa wa kimara imeendelea kuchukua ushuru kwa wafanya biashara hao?
Na wanaofanya kazi ya kukusanya ushuru huo si watumishi wa Serikali?
Source-Gari yao ya matangazo
Wakati huo huo wakazi wafanyabiasha maeneo ya soko la kimara kuelekea king'ongo wakiwa katika kuti kavu baada ya kupewa siku hadi mwisho wa mwezi kuhamisha au kutofanya biashara maeneo hayo.
Swali langu kama hilo eneo si halali kwanini serikali ya mtaa wa kimara imeendelea kuchukua ushuru kwa wafanya biashara hao?
Na wanaofanya kazi ya kukusanya ushuru huo si watumishi wa Serikali?
Source-Gari yao ya matangazo