Mnyika (CHADEMA) azungumia kesi inayomkabili

Mnyika (CHADEMA) azungumia kesi inayomkabili

Nijuavyo kama unaishi kimara utapiga kura kimara na ikiwa umehama utaenda kujiandikisha kwenye makazi mapya wakati wa kurekebisha daftari la kudumu la wapiga kura. Hii ya kukaa Arusha na kupiga kura Ubungo ni mpya kwangu sorry lakini kama nitakuwa nimekosea ila mimi hivyo ndio nijuavyo!

Pole!! Unahitaji kujua zaidi. Naomba kamsome vizuri mtoa maelezo hasa baada ya zile sehemu ulizo colour & bold,utapata jibu. Ukiwa mbishi na msahaulifu hutaliona jibu. Labda kwa kukusaidia kafanye H/Work hii.
1. Wakati marekebisho ya daftari la kupiga kura yanafanyika wanavyuo wa UDSM, DUCE, MUCE, RUCO, SUA, UDOM, MZUMBE, MUHAS, etc walikuwa wapi?
2. Wakati wa kampeni hadi uchaguzi wa 2010 wanachuo walikuwa wapi?
3. Kwanini walikuwa huko walikokuwa wakati wa kupiga kura na wasiwe kule tulikotegemea/tulikotarajia?
 
nyamaza klaza mkubwa we wa magamba, hujui lolote

Kwani si ni wakoloni weusi tu. Ccm mna nini jipya. Ubungo is for CDM for ever. You are just wasting your time. Even if is not jj but it shall never be CCM.
 
Mnyika "Mpaka sasa nimeandika
kurasa 21 za mchango wangu
kuhusu majumisho (final
submission) kutoka katika rundo
la rejea za hukumu mbalimbali
zenye misingi muhimu ya kisheria
(fundamental legal principles).
Naendelea na mkesha kama wa
Loyola kupitia kurasa 111 za
mwenendo wa kesi (court
proceedings), Nikimaliza
namwachia wakili wetu aendelee
kwa upande wake, tutakutana
mahakamani kesho tarehe
4 Mei 2012. Nasikia adhana, Hayya
alas-swalaah; Tulitafuta kura
pamoja, tukapiga kura pamoja,
tukazilinda kura pamoja;, kwa
pamoja tutaendelea kushinda.
AMUA: Maslahi ya Umma Kwanza"

Japo sijapoteza imani kabisa na mfumo wetu wa sheria lakini kitendo cha mgombea kukamatwa na masanduku ya kura halafu akashinda kesi kinaniogofya. Aidha Ubunge is not everything. At least in your 2 yeras tenure ilisimamia kidete hoja ya kihistoraia ya mabadiliko ya KATIBA at the expense ya kupoteza imani ya wapiga kura wa jimbo lako na ukafanikiwa. Hata wakifanya hila wapiaga kura badi ni sisi wale wale
 
Pole!! Unahitaji kujua zaidi. Naomba kamsome vizuri mtoa maelezo hasa baada ya zile sehemu ulizo colour & bold,utapata jibu. Ukiwa mbishi na msahaulifu hutaliona jibu. Labda kwa kukusaidia kafanye H/Work hii.
1. Wakati marekebisho ya daftari la kupiga kura yanafanyika wanavyuo wa UDSM, DUCE, MUCE, RUCO, SUA, UDOM, MZUMBE, MUHAS, etc walikuwa wapi?
2. Wakati wa kampeni hadi uchaguzi wa 2010 wanachuo walikuwa wapi?
3. Kwanini walikuwa huko walikokuwa wakati wa kupiga kura na wasiwe kule tulikotegemea/tulikotarajia?

Kama hujui wachaga wengi wengi hasa kutoka jimbo la Rombo hujiandikisha na kupiga kura katika jimbo lao.
 
Back
Top Bottom