Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Mnyika "Mpaka sasa nimeandika
kurasa 21 za mchango wangu
kuhusu majumisho (final
submission) kutoka katika rundo
la rejea za hukumu mbalimbali
zenye misingi muhimu ya kisheria
(fundamental legal principles).
Naendelea na mkesha kama wa
Loyola kupitia kurasa 111 za
mwenendo wa kesi (court
proceedings), Nikimaliza
namwachia wakili wetu aendelee
kwa upande wake, tutakutana
mahakamani kesho tarehe
4 Mei 2012. Nasikia adhana, Hayya
alas-swalaah; Tulitafuta kura
pamoja, tukapiga kura pamoja,
tukazilinda kura pamoja;, kwa
pamoja tutaendelea kushinda.
AMUA: Maslahi ya Umma Kwanza"
kurasa 21 za mchango wangu
kuhusu majumisho (final
submission) kutoka katika rundo
la rejea za hukumu mbalimbali
zenye misingi muhimu ya kisheria
(fundamental legal principles).
Naendelea na mkesha kama wa
Loyola kupitia kurasa 111 za
mwenendo wa kesi (court
proceedings), Nikimaliza
namwachia wakili wetu aendelee
kwa upande wake, tutakutana
mahakamani kesho tarehe
4 Mei 2012. Nasikia adhana, Hayya
alas-swalaah; Tulitafuta kura
pamoja, tukapiga kura pamoja,
tukazilinda kura pamoja;, kwa
pamoja tutaendelea kushinda.
AMUA: Maslahi ya Umma Kwanza"