Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mbona hii tunasikia ni alama ya FREEMANSORY ?
acha ujinga..stori za kwenye kahawa wewe ndio unazimeza..nina wasi wasi na elimu yako
Mbona hii tunasikia ni alama ya FREEMANSORY ?
mbona hii tunasikia ni alama ya freemansory ?
jmani John akivuliwa ubunge basi Bunge limeharibika. Tunakuombea Comando John.
Hivi kuna sheria NCHI hii inakataza matukio kama kuonyeshwa "live" na vyombo vyetu vya habari?
Mkuu haupo mahakamani?
duuuuuh!wana cdm mnapenda vibaya.