Huyo anazuga tu,hana lolote! Hapo mnashangaa nini,kaamua mwenyewe! Angeuza kabisa gari lake na aache kuchukua posho.Wanasiasa wa bongo ni mafisi tu,njaa inawasumbua!hawa wanafaa kupigwa mawe popote wapitapo,bungeni vita ya kijinga,vita ya matumbo yao na hawana lolote zaidi ya kujitafutia umaarufu.Eti ndani ya daladala, pambafu!