Serayamajimbo
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 191
- 38
Kauli ya Mwakamele kwamba yupo kiongozi mmoja wa Tanesco ambaye alimwomba rushwa ya Sh100 milioni, ikiwa ina ukweli inazidi kudhihirisha kuwa mtandao wa ufisadi ulioko ndani ya Tanesco na Mwakamele, anapaswa kuhojiwa na Takukuru, ili ataje jina la mtuhimiwa huyo wa ufisadi, alisema Mnyika.
Habari zaidi: Mnyika azidi kumkaba koo Mwakamele - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Habari zaidi: Mnyika azidi kumkaba koo Mwakamele - Kitaifa - mwananchi.co.tz