Kwa maelezo haya bado wapo wasio elewa kabisa utaona tuu si tupo hapa !!
...K' nyingine yeyote mnayoiwaza au kuifikiria... ni kweli K ni moja tu ambayo ndiyo matata, sijui kama ndiyo ya kwako au la!!
Mkuu kumbe wewe ni manchester mwenzangu....halafu nakusubiri ugeuke hahahaha.Hahhaha kwahiyo bora asingetolea ufafanuzi
Wacha niwe na akiba ya maneno, yatanifaa siku zijazo.Abeeeh, nimefanyaje tena jamaniii?? Mbona hivyoo... sema tuu usighairishe. Salamu zimepokelewa.
HahahahaHahahahahhaa hata wewe mtu chake jamanii, asanteee.