Mnyama Nimpendae

Jamani msiharibu thead yangu.......hebu semeni na nyie wanyama muwapendao nyinyi.........





huyu mnyama mzuri sana ukimkuta porini.......ajabu watu wameamua kuwafuga mjini

 
Jamani hebu tuheshimu viongozi wetu.....Wassira anaingiaje hapa?

 
Hata Makamo wa Rais anawapenda hawa wanyama...hapa yuko na mama Jane Goodall.......mzungu aliyehamia Tanzania kwa kuwa imejaliwa wanyama hawa..nasikia hata kule bustani za Ikulu walikuwepo kabla hawajahamia maofisini

 
Ni kweli wanamsingiziaWasira wa watu, hajafanana naye hata kidogo. labda midomo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…