acha we unadhani simba hajui vitowewo vinakaaje? anaweza toka baru akajua mdudu haramu huyu...Kama yupo najua kukimbia hawezi maisha yake nimafupi lazima awe chakula cha mzee wa nyika.
Kama yupo najua kukimbia hawezi maisha yake nimafupi lazima awe chakula cha mzee wa nyika.
Huyo mnyama si apewe jina langu jama!!!
hahaha mkuu hapo hapana, simba anauwezo wa kumuingilia kinguvu swala, lakini swala hana uwezo wakumuingilia au hata kumtongoza simba hahahaAu swala alikosa uvumilivu kwa urembo wa simba!yote yanawezekana maana kwenye mapenzi hakuna ukali,ni kutulia na kula raha tu!!