Lord K
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 213
- 37
ndo maana huku ni jokes na gosssip hujaombwa uje huku utusameeee!!!!Watu wazima wanapokaa pamoja huwa kama watoto. Mnisamehe.
ndo maana huku ni jokes na gosssip hujaombwa uje huku utusameeee!!!!Watu wazima wanapokaa pamoja huwa kama watoto. Mnisamehe.
natamani kikwete atimize ahadi zake za kampeni, mnisameeeeeeeNapenda hamii forums isingekuwepo mnisameheee
Napenda watu wote wangekuwa wchina mnisameheeeeeee
............ . mnisameheeeeeeee
Natamani wote muwe waume zangu! Mnisaheh
Natamani wote muwe waume zangu! Mnisaheh
Ili ufanye ngono na wanyama ......... MnisameheeeeeeeeNatamani watu wote mfe dunia ibaki mimi na wanyama na mimea tuu. mnisameheee
Natamani kila anayepost hapa angekuwa anaonekana. Mnisamehe
Ili ufanye ngono na wanyama ......... Mnisameheeeeeeee
Hiyo ingekuwa noma maana majina na sura ni tofauti' ungeona post ya mshua ilivopumba sijui kama ungemuheshimu aisee
Natamani mabomba yote ya maji yangetoa bia, mnisameheeeee...
We ni mlevi mbisameheeeee