October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Wakuu October man naandika kitu.
Leo nimekaa kuFigureout Hustle nilizopitia nimepita kwingi KFC, PizzaHut, Subway, viwandani, Supermarket, mashuleni, Carwash kadhaa nk kote nimegota neno moja tu tena unajibiwa bila anayekujibu kutafakari kama kaliandaa “Tumejaa/hakuna kazi” ila ishu kubwa niliyoiamini ya kujiajiri wazo la kuosha magari nilivyo Iplan na imekwama, ishu hii pesa yake inaonekana na nyingi atleast ila kupata nafasi ya kufanya kazi imekuwa ngumu sana, nimeFight kupata sehemu kama tatu(3) ila zote nimekosa
1)Posta, hapa ni majaa tu wanaosha vikundi kujiunga wanataka pesa ila kwakifupi wanakukata tu mtu mpywa ila hii sehemu sikuichukulia serious sana hata mazingira ya kazi inahitaji moyo kufanya.
2)TanHouse, hapa ni sehemu nilikuwa very serious kufanya kazi inabidi uombe uongozi wa Jengo maana magari yanapaki sehemu iliyotengwa na ofisi wamenizungusha sana na mwisho wamekataa kulikuwamoja waoshaji wawili magari kibao jamaa alinambia wanaosha gari 3000/= kwasiku anaosha gari 15 So kupata 40,000/= kawaida nimefatilia wamenitema uongozi.
3)NMB (Upanga), hapa ndipo daa wana packing ina gari nyingi sana 100+ sijaona packing kama ile gari zao wanapaki kwenye sehemu ya pembeni na hakuna anayeosha nikaona hii jackpot, nimeongea na wanaohusika jamaa kakubali nimeanza kazi nimepiga 39,000/= siku ya kwanza sikuamini nikaanza kupiga hesabu za kusave million 10 mpaka mwaka unaisha maana saving kidogo naiweza haa sindo keshoyake naenda naambiwa uongozi umekataa Kuosha magari ndani duu.
Mpaka sasa akiri imeStack hata sijui ishu gani nyingine nifanye itaweza nitengenezea pesa ya kama ile 40K kwasiku bila ajira bila Mtaji....kichwa kimestack kabisa nikiwaza kila mishe inahitaji mtaji na mimi nililijua hilo ndio maana nikaplan mishe ile sasa nigeukie kipi ??
Ishu gani nyingine ambayo inaweza nipa 20,000+ kwasiku isiyohitaji mtaji hata 10,000/= nafikili kuuza mishikaki ila nikiona wanavyofanya wanaouza mishakaki kokoteni, jiko, na setup mzima haipungui 500,000/= ukiigeukia ajira nayo process nzito sikitoto.
Ninaombi moja
_Mwenye uwezo aniinue/anisapoti kwa njia yoyote ile nidhamini Funding/Capital ya biashara niinuke chini pagumu nitajifunza biashara week nzima kwa anayefanya kwa viyendo ili niilewe
_Au hata Connection ya kazi aniunganishe professional Teacher ila kazi yoyote napiga.
Ground ngumu aisee tuinuane wanJF.
Portfolio | 2020
Leo nimekaa kuFigureout Hustle nilizopitia nimepita kwingi KFC, PizzaHut, Subway, viwandani, Supermarket, mashuleni, Carwash kadhaa nk kote nimegota neno moja tu tena unajibiwa bila anayekujibu kutafakari kama kaliandaa “Tumejaa/hakuna kazi” ila ishu kubwa niliyoiamini ya kujiajiri wazo la kuosha magari nilivyo Iplan na imekwama, ishu hii pesa yake inaonekana na nyingi atleast ila kupata nafasi ya kufanya kazi imekuwa ngumu sana, nimeFight kupata sehemu kama tatu(3) ila zote nimekosa
1)Posta, hapa ni majaa tu wanaosha vikundi kujiunga wanataka pesa ila kwakifupi wanakukata tu mtu mpywa ila hii sehemu sikuichukulia serious sana hata mazingira ya kazi inahitaji moyo kufanya.
2)TanHouse, hapa ni sehemu nilikuwa very serious kufanya kazi inabidi uombe uongozi wa Jengo maana magari yanapaki sehemu iliyotengwa na ofisi wamenizungusha sana na mwisho wamekataa kulikuwamoja waoshaji wawili magari kibao jamaa alinambia wanaosha gari 3000/= kwasiku anaosha gari 15 So kupata 40,000/= kawaida nimefatilia wamenitema uongozi.
3)NMB (Upanga), hapa ndipo daa wana packing ina gari nyingi sana 100+ sijaona packing kama ile gari zao wanapaki kwenye sehemu ya pembeni na hakuna anayeosha nikaona hii jackpot, nimeongea na wanaohusika jamaa kakubali nimeanza kazi nimepiga 39,000/= siku ya kwanza sikuamini nikaanza kupiga hesabu za kusave million 10 mpaka mwaka unaisha maana saving kidogo naiweza haa sindo keshoyake naenda naambiwa uongozi umekataa Kuosha magari ndani duu.
Mpaka sasa akiri imeStack hata sijui ishu gani nyingine nifanye itaweza nitengenezea pesa ya kama ile 40K kwasiku bila ajira bila Mtaji....kichwa kimestack kabisa nikiwaza kila mishe inahitaji mtaji na mimi nililijua hilo ndio maana nikaplan mishe ile sasa nigeukie kipi ??
Ishu gani nyingine ambayo inaweza nipa 20,000+ kwasiku isiyohitaji mtaji hata 10,000/= nafikili kuuza mishikaki ila nikiona wanavyofanya wanaouza mishakaki kokoteni, jiko, na setup mzima haipungui 500,000/= ukiigeukia ajira nayo process nzito sikitoto.
Ninaombi moja
_Mwenye uwezo aniinue/anisapoti kwa njia yoyote ile nidhamini Funding/Capital ya biashara niinuke chini pagumu nitajifunza biashara week nzima kwa anayefanya kwa viyendo ili niilewe
_Au hata Connection ya kazi aniunganishe professional Teacher ila kazi yoyote napiga.
Ground ngumu aisee tuinuane wanJF.
Portfolio | 2020