hahahahahahaaaa ,,,wagonjwa wanaandamana round about
Sidhani kama kumefungwa!wagonjwa wapya hawapokelewi,waliokuwepo wamejiondokea,kwa hiyo pamebaki empty kiaina!!
huu utabiri utatimia iwapo serikali haitaelewa.Nzuri sana hyo mpaka kieleweke,mbona wabunge wameongezewa posho watu kmya,sa mdaktari kugoma ndo imekuwa tabu,wacha wagome mpaka serikali itoe tamko,baada ya madktari watafuatia clinical officer na manurse,mana nao mishahara yao ni midogo sana wanafanya kazi vijijini mazingira hatarishi,ata kuwazdi hao ma-specialist mana,anapofka pale Opd wao ndo wakwanza kumpokea kabla ya specialist kuja ama dr on call,kwa ivyo nao pia walitibue hlo timbwilitimbwili!
kama chademaKwakuwa taasis zilizopo zinzshindwa kutetea wagonjwa, hivi haiwezekani kuwa na chama cha wagonjwa i mean kutetea chama cha wagonjwa?