mnh dunia imekwisha

rebeca

Senior Member
Dec 18, 2011
190
27
405079_2361117307197_1228237946_32016356_1326325394_n.jpg
dume zima linakata viuno...lol
 
Kwani mwanaume kukata kiume kwa mwanamke ni kosa? Kwani vitandani huwa mnafanya nini kama tutaacha unafiki? Bila viuno kukatika wengi msingezaliwa. Dunia haijaisha bali nyie ndiyo mna tafsiri zenu za kiswahili. Ingekuwa noma kama mwanaume angamkatia viuno mwanaume mwenzake au mwanamke mwanamke mwenzake. Kama ni positive and negative so be it.
 
Back
Top Bottom