mimi mvivu wa kusoma story ikiwa ndefu.ila hii imenihuzunisha,maana nimeisoma yote.jamani mwisho wetu mbaya,yeye hakutegemea.m.me wa kwanza na kuambukizwa juu.frustration zake,akaona bora na yeye aambukize.alikuwa mzuri jamani.mbana watu wanasema miaka ya 80s watu walikuwa wakifa stage kama hiyo,ila sasa hupuputiki kama hivyo,kwa hiyo picha mmh kwa kweli inasikitisha