Mnawezaje kutumia vyoo vya kukaa?

Mnawezaje kutumia vyoo vya kukaa?

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
1,716
Reaction score
1,842
Sijui ni ushamba wangu au ni vipi, yaani hivi vyoo vyenye masinki ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahati mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. We unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masinki ya kukaa au vyenye masinki ya kuchuchumaa?,
 
Kwakweli vinachosha sana hasa unapokuta ni vyoo vya public! Siwezi kukalisha kwakeli!
 
Kwakweli vinachosha sana hasa unapokuta ni vyoo vya public! Siwezi kukalisha kwakeli!
Usafi tu ndio la msingi lakini bado ndo vyoo vya kisasa mpaka leo. Huwa naenda na smart phone nachart huku nakata gogo
 
Mmh vile mi siwez tumia asee, kila mtu anakaa halaf na mm nije nikae, never
 
sijui ni ushamba wangu au ni vipi yaan hivi vyoo vyenye masink ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahat mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. we unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masink ya kukaa au vyenye masink ya kuchuchumaa?,
Sory mkuu wewe niwa mkoani eee!!!any way binafsi watu tunatofautiana!!kama mimi cha kuchuchumaa sikipendi hadi nimeweka kwangu natumia hiki
1478233442116.jpg
 
Back
Top Bottom