Mnatakaga kujua nini wanaume?

Mi huwa siulizi na sijawahi waza hiko kitu never happen...

Sasa umuulize mshangazi swali kama hilo si ukichaa...

Mi ndo naulizwaga hv "" hv ushawahi toka na mtu mzima kama mimi""

Mi jibu HAPANA... Hvyo anajiona yeye wa kwanza kumbe akifungua droo langu la nguo anaweza kutana na vijora vya ant salome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…