mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 406
nawashangaa pesa yenyewe hawana kaz kelele tu.
nyie wanaume wa jf mnataka mapenzi au mnataka kuchunwa. maana hamueleweki. utasikia ''nina nyumba mbili, akaunti tatu za benk n.k wakati hamna alokuuliza