Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
mimi nataka hela mkuu.
Njoo uchukue fasta
mimi nataka hela mkuu.
Njoo uchukue fasta
Naomba ufafanuzi juu ya hili,hivi nyie wanawake wa jf mnataka mapenzi au pesa,nashangaa hamueleweki.
pesa bwana mapenzi hata mbwa anayo.
Bei gani inakutosha, nkikupa utailipiaje ili nisijutie pesa yangu?mimi nataka hela mkuu.
Mtu hela hana na mapenzi hayajui, hata mvuto basi huna.
Hhahahaha natania tu.
Karibu Barclays.
Chagua moja, mshika mawili moja humponyoka au hukosa yote kama hana bahati kabisa.(nzuri wala mbaya zote hana)pesa na mapenzi
mimi hela itakayonitosha kwa sasa ni 1,000,000,000tshBei gani inakutosha, nkikupa utailipiaje ili nisijutie pesa yangu?
Hapo ni marufuku kuita MTU baib wakati unamkaanga.pesa na mapenzi
yeye mwenyewe atakavyo penda kuitwa nitamuita,Hapo ni marufuku kuita MTU baib wakati unamkaanga.
nisubiri twende wooteeeNtarudi badae kidogo
hmmm twiin...Vyote!!!
siaminiiii....Mtu hela hana na mapenzi hayajui, hata mvuto basi huna.
Hhahahaha natania tu.