Mnasemaje na hii picha?

He/she is ralaxing...probably pondering over something....maybe some future plans or something like that.
 
Anajiuliza namna ya kujiunga na JF ili kuongeza nguvu zaidi kwa wenzake wachache waliopo na wanaozidi kusimangwa!! :biggrin:

Mbona kama akili yake yote kwenye kamera? Huoni alipoelekeza macho na alipoweka mikono?
 
Mbona kama akili yake yote kwenye kamera? Huoni alipoelekeza macho na alipoweka mikono?

Like most nyanies, he/she too is a poser. Lakini kwa huyo juu, naamini hapo anafikiria namna ya kujiunga JF!!!
 
Mbona kafulila katokea Kigoma kusini kwenye hawa washikaji wengi sana, kwenye milima yaMahale , lakini hafanani na jamaa kabisa!!

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…