Mnaposwali msituharibie siku na sisi wengine

Mnaposwali msituharibie siku na sisi wengine

Status
Not open for further replies.
Mimi nipo karibu na Kanisa la FPCT hapa ni full mziki utafikiri tupo Congo, na si j'pili tu huanza J5, Ijumaa, j'mos na J'pili lkn huwa tunavumilia tu kwakuwa ni imani yao inawaruhusu siwezi kuwakosoa au kuwavunjia heshima
Hahhahahahahahaha Mkuu umenifurahsha et utadha typo congo
 
England na German kwa Macho yangu nimeshuhudia watu wanaswali nje siku ya Ijumaa. Sipingi hoja yako napinga kuihusisha na uswahili uswahili wa Kitanzania
Mkuu kuna tofauti kati ya kufunga bara bara na kuswali nje, hakuna mtu anachukizwa na kuabudu kwa watu wengine, tatizo ni pale tunaposhirikishana ibada kwa LAZIMA.
 
Hao waliofunga barabara walikuwa hawaswali wanakunywa kahawa au?
Ni namna gani wewe ulishirikishwa ibada kwa LAZIMA?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom