Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Hakuna cha Kariakoo au Bariakoo.. Tunswali kwa vipindi na hapo tulipo wakati ukiwadia TunaSQimu SWALA !! iwe barabarani au ktk mvua au jua..Hata tukiwa New York au Parioss au Popote SWALA laima litimie..Allah katupa RUHUSA na Hakuna Nyani ayyte atakaae Stopisha !! PINGA/PINGENII !!!!We utakuwa mgeni wa Kariakoo. Huwa wanaamua tu na kuanza sala zao
Niwape mifano.......................................................!!