manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,605
- 2,058
we jamaa acha udini watanzania ni kitu kimoja,inabidi tuvumiliane kwani hata waislamu nao wanavumila mengi,amani tuliyonayo ni kitu kikubwa,dini zote zinahububiri amani mtu wa type yako awe ni mkristo muislamu au mpagan ni wa kuogopwa kama ukoma,wewe ni kijana nchi ikichafuka kutokana na uchochezi unaoanza taratibu kama hivi una nguvu za kukimbia na kupambana wafikirie pia bibi zetu babu zetu mama zetu na watoto wetu,tujifunze kutokana na yanayowapata wenzetu,chezea vyote ila sio imani ya mtu unakosea sana