Mnapambanaje na hii changamoto katika mapenzi?

Mnapambanaje na hii changamoto katika mapenzi?

Umeoa au kuolewa,una mchumba au hata hawara,mmeshibana haswaaa,Lakini hapo mtaani kwako kuna watu wawili ambao walikuwa na mahusiano na mtu wako kabla yako,Je unajisikiaje unapowaona watu hawa?binafsi najisikia vibaya sana nakosa raha,nakosa amani kwasababu ya wivu,huwa naumia mno,zinaweza zikapita hata siku tatu au zaidi utendaji wa shughuli ya faragha unakuwa duni sana,yaani nafika mbali natamani niachane naye,naweza kuanzisha ugomvi mkubwa sana ili tu nipate sababu ya kumtimua,Lakini baadae baada ya yeye kujitetea sana,nasikia sauti yangu ya ndani kabisa ikiniambia, ukimuacha huyu utakuwa umemuonea sana,yeye hana tatizo lolote,tatizo unalo wewe kwenye moyo wako uliojaa wivu na kupenda kupindukia, kwasababu hao watu alikuwa nao kabla hajawa na wewe,ukija kumfumania basi ruksa kumwacha ,Sasa msaada wenu Wenzangu ambao mkionana na watu kama hao mnajisikia amani tu Wala mishipa ya fahamu haiwashtuki nyumba full kicheko,mmefanyaje ili hali inayonitokea mimi isiwatokee?
Huo ni ulimbukeni utaisha tu
 
Umeusemea moyo wangu, nilidhani nipo mwenyewe na mtoto wa watu ananipenda sana, ila mara zote namshinda shetani , nilichoamua ni kuwa na mchepuko wangu wa kupotezea mawazo hayo yakija
 
Shida kubwa unachokiwaza ni maumbile ya k na asili ya kubeba taka kwahiyo wewe huwaza kama hao jamaa wamekuachia dastbini ndio maumivu unayahisi
 
Umeusemea moyo wangu, nilidhani nipo mwenyewe na mtoto wa watu ananipenda sana, ila mara zote namshinda shetani , nilichoamua ni kuwa na mchepuko wangu wa kupotezea mawazo hayo yakija
We acha tu wanao kejeli hayajawakuta hayo,kungekuwa na dawa ya laki kadhaa ningenunua nijitibu hili gonjwa,ni shida
 
Shida kubwa unachokiwaza ni maumbile ya k na asili ya kubeba taka kwahiyo wewe huwaza kama hao jamaa wamekuachia dastbini ndio maumivu unayahisi
Halafu nasahau kabisa kwamba wapo ambao namimi niliwaachia uchafu
 
Kwan kuishi na ex mtaani maana yake bado unatembea nao? Tafuta bikra uwe naye lakin sio kumnyima amani dada wa watu.
Ungekuwa wewe ingekuwa rahisi sana,unaonekana unaachika kirahisi sana,yeye hataki na huwa na muelewa Sana ila tatizo moyo haukomi kuumia
 
Ungekuwa wewe ingekuwa rahisi sana,unaonekana unaachika kirahisi sana,yeye hataki na huwa na muelewa Sana ila tatizo moyo haukomi kuumia
Kwahiyo unaona raha kumfanyia hivyo binti wa watu?
 
Kwahiyo unaona raha kumfanyia hivyo binti wa watu?
Sioni raha hata kidogo na nampenda Sana ndio maana hiyo hali inajitokeza,mwanzoni kabla sijazama penzini nilkuwa naona poa tu sikuwahi kuumia,ila kadri siku zilivyosonga mbele nikajikuta nina wivu kupita kiasi,nimekuja kwenu mnisaidie nifanyeje ili hii hali itoweke,tuishi Kama zamani ,nisiwe na wivu hata chembe
 
Unamaanisha kuna masela walikuwa wanampiga mashine kabla yako na mnaishi nao kitaa? Siku akimiss mashine zao uje utusimulie.
 
Unamaanisha kuna masela walikuwa wanampiga mashine kabla yako na mnaishi nao kitaa? Siku akimiss mashine zao uje utusimulie.
Kama wa kwako anakwambia akimiss mashine zao naamini hata wangu ataniambia,akiniambia nitakuja kuwasimulia usijali
 
Back
Top Bottom