Huo ni ulimbukeni utaisha tuUmeoa au kuolewa,una mchumba au hata hawara,mmeshibana haswaaa,Lakini hapo mtaani kwako kuna watu wawili ambao walikuwa na mahusiano na mtu wako kabla yako,Je unajisikiaje unapowaona watu hawa?binafsi najisikia vibaya sana nakosa raha,nakosa amani kwasababu ya wivu,huwa naumia mno,zinaweza zikapita hata siku tatu au zaidi utendaji wa shughuli ya faragha unakuwa duni sana,yaani nafika mbali natamani niachane naye,naweza kuanzisha ugomvi mkubwa sana ili tu nipate sababu ya kumtimua,Lakini baadae baada ya yeye kujitetea sana,nasikia sauti yangu ya ndani kabisa ikiniambia, ukimuacha huyu utakuwa umemuonea sana,yeye hana tatizo lolote,tatizo unalo wewe kwenye moyo wako uliojaa wivu na kupenda kupindukia, kwasababu hao watu alikuwa nao kabla hajawa na wewe,ukija kumfumania basi ruksa kumwacha ,Sasa msaada wenu Wenzangu ambao mkionana na watu kama hao mnajisikia amani tu Wala mishipa ya fahamu haiwashtuki nyumba full kicheko,mmefanyaje ili hali inayonitokea mimi isiwatokee?
Basi vaa miwani nyeusiNina kibanda changu mkuu
We acha tu wanao kejeli hayajawakuta hayo,kungekuwa na dawa ya laki kadhaa ningenunua nijitibu hili gonjwa,ni shidaUmeusemea moyo wangu, nilidhani nipo mwenyewe na mtoto wa watu ananipenda sana, ila mara zote namshinda shetani , nilichoamua ni kuwa na mchepuko wangu wa kupotezea mawazo hayo yakija
Kwan kuishi na ex mtaani maana yake bado unatembea nao? Tafuta bikra uwe naye lakin sio kumnyima amani dada wa watu.Heee gubu limekujaje tena?au nawewe unao ma Ex wawili mtaani kwako!
Ungekuwa wewe ingekuwa rahisi sana,unaonekana unaachika kirahisi sana,yeye hataki na huwa na muelewa Sana ila tatizo moyo haukomi kuumiaKwan kuishi na ex mtaani maana yake bado unatembea nao? Tafuta bikra uwe naye lakin sio kumnyima amani dada wa watu.
Kwahiyo unaona raha kumfanyia hivyo binti wa watu?Ungekuwa wewe ingekuwa rahisi sana,unaonekana unaachika kirahisi sana,yeye hataki na huwa na muelewa Sana ila tatizo moyo haukomi kuumia
Sioni raha hata kidogo na nampenda Sana ndio maana hiyo hali inajitokeza,mwanzoni kabla sijazama penzini nilkuwa naona poa tu sikuwahi kuumia,ila kadri siku zilivyosonga mbele nikajikuta nina wivu kupita kiasi,nimekuja kwenu mnisaidie nifanyeje ili hii hali itoweke,tuishi Kama zamani ,nisiwe na wivu hata chembeKwahiyo unaona raha kumfanyia hivyo binti wa watu?
Kama wa kwako anakwambia akimiss mashine zao naamini hata wangu ataniambia,akiniambia nitakuja kuwasimulia usijaliUnamaanisha kuna masela walikuwa wanampiga mashine kabla yako na mnaishi nao kitaa? Siku akimiss mashine zao uje utusimulie.



ukichunguza sana bata umli.