Mnaowekwa Profile Picture mnatumika


Nashukuru kutambua upeo wako ulipo ishia...
Atayejenga CHUKI na ww atakua na upeo mdogo zaid maana ata mnyonge anamnyonge wake pia...

​Hahahaaa... hizi ndo kasoro zenye kasoroo
 

Nashukuru kutambua upeo wako ulipo ishia...
Atayejenga CHUKI na ww atakua na upeo mdogo zaid maana ata mnyonge anamnyonge wake pia...

​Hahahaaa... hizi ndo kasoro zenye kasoroo

Character wise wewe ni mmojawapo
 

Umenikumbusha mbali mkuu, mwanzo nilivyoanza kutumia wasap jaman jaman, i used to complain the same way. lakini with time nimejikuta nina amani tu. ninachokushauri "LIVE YOUR LIFE' don't mind people replying or not.

nimefanya hivyo and am living a happly life.

Thank you for making my day:A S wink::A S wink::A S wink:
 


mmmmmmh! kama kuna ukweli fulani hivi lakini.
 
Ukiwekwa au usipowekwa kama "profile picture" haibadilishi chochote. Siku hizi watu wanatongoza chochote. Wengine wamefika mbali wanatongoza hadi "ATM Machines". Na kuhusu kukamuliwa, kwa nini usizitoe mwenyewe mpaka uombwe ombwe au utengenezewe mazingira ya kukamuliwa.
 

Mambo si ndio hayo sasa, ni wanaume tu ndio wanalijua hilo.
 
Mi nshawahi kuweka picha ya demu flan ivi ili kumtia moto dem anaenzingua...
 
Ahaa ni stahili mpya ya wadada kukuibieni na kuwafilisi .ukiona demu kakuweka profile muogope kama ukoma jua ana line nyingine na simu nyingine ambayo ni secured kwa ajili ya watu wake muhimu na mabwana zake wa uhakika...hiyo yenye picha yako ni kwa ajili ya wapita njia wanaomsumbua na mashosti fake...ukimpigia ukamkosa jus yupo kwa secured line atakudanganya walikuwa amelala au simu iliishiwa charge chezea wakina Dada..kuna mean a philosophies alisema never trust a woman...
 
Siyo kila mtu anayekuweka profile pic hakucheat,wengine wanakuweka ili wakuridhishe tu,tena hao wanaoweka profile pic za watu wao wanadangnaya wakiuliza utasikia huyu ni bro wangu na watu bado wanakula mzigo
 
Mi popote pale panapoitwa mtandaoni siweki picha yangu, hata ya ndugu yangu, ya kile ninachofanya...
Naona huwa ni ushamba fulani hivi mtu anajipiga picha kabenua makalio afu huyo whatsapp profile..

Kuna watu akili zao ndogo sana


sidhani kama ni akili ndogo, na haina maana asiyeweka ana akili kubwa , mimi nadhani ni maamuzi ya mtu binafsi.....kuweka ama kutokuweka !
 
This is interesting.... Leo mnasoma topic gani huko shuleni?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…