Jafari Haruna
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 347
- 962
Kuwa mzalendoWe last born wetu mbona hautuamkii wakubwa zako kama kawaida yako?
Au zile salamu zako hua ni hongo maalumu kwa ajili ya thread unayoianzisha wewe?
Kuwa mzalendoWe last born wetu mbona hautuamkii wakubwa zako kama kawaida yako?
Au zile salamu zako hua ni hongo maalumu kwa ajili ya thread unayoianzisha wewe?
Sawa nitafanya hivyo kaka mkubwaMarhabaaaaaa
Ila hio salamu isiishie kwangu tu, anza kupita kwa kila mtu aliechangia mada kwenye hii thread umpe heshima yake.
Uzalendo ni pamoja na kuunga mkono juhudi.Kuwa mzalendo
Asante sana kwa kunikubali kaka mkubwa. Pia ninaomba mnikosoe pale ninapoteleza kwa maana mimi pia ni mwanadamu na sijakamilika kwa 100%Ila we jamaa mimi hua nnakukubali kinoma, yaani nikikuta thread yako humu jamvini hua lazima niipitie halafu nnakutana na madini tupu.
Umeme umekata na Gesi yakuchomelea Hamna napoishiUzalendo ni pamoja na kuunga mkono juhudi.
Vipi mkuu na wewe ushaunga mkono juhudi?
Mkuu, asante sana. Mungu akubariki na wewe pia.MUNGU akubariki sana akuzidishie hekima na busara katika maisha yako.
Hayo pia ni maendereoUmeme umekata na Gesi yakuchomelea Hamna napoishi
Basi sawaHayo pia ni maendereo
Na ndio maana tumeanzisha mradi wa stigra joji iri tuwe na umeme wa uhakika nchi nzima.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.Shikamoo kaka mkubwa
Na.kichefuchefu juu yake,kutapika.kwa sana.tuThread Hii Imejaa Mashaka
Kwanza Inakuza Mambo Sana
Underated !Be Left-handed is a gift
hahahahaaaaaa sawa mzee baba naona umeamua kuiandika kama yoteShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
ukimchunguza sana bata hauwezi kumla, mbona hata wakandaji wa unga wa vitafunio (eg; andazi, chapati, sikonzi etc) nao pia huzikanda kwa mikono yote tena wakipanguza mapua yao kwa mikono hiyo hiyo pia kujikuna..wengine hata kujishika sehemu za miwasho kama matacleni..
suala la usafi ni jema ila uzingatiwaji wake hakuna auwezaye!!
Vitafunio = Vitafunwa (Vitafunio ni meno yako wewe mlaji)