Waafrika na Masharti ya kutumia mikono tuliyapata wapi (mkono Wa kulia na kushoto)

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Habari za jumapili!
Mkono Wa kulia na kushoto ni maneno yanayoeleza namna mikono yetu ilivyo na kazi zake; naomba mtu anayejuwa vyema historia na chanzo cha matumizi atufahamishe, wengi tumejikuta tunakuwa, na pengine huko shule tulivyocharazwa tumejikuta tumezoea, Mimi nitajaribu kidogo anayejuwa atanisahihisha.
  • Mkono Wa kulia
Kwa uelewa wangu nadhani neno kulia lilitokana na neno KULA, hii nazani ni kwasasabu watu wengi walionyesha umahiri zaidi walipokula Kwa kutumia mkono huu ndiyo maana wakaubatiza jina la MKONO WA KULIA. Na pengine na mambo mengine yaliyoonekana kukaa upande wa kuume yalifuata mkumbo huu wa kuitwa (KULIA), pamoja na neno kulia kuonekana halishabihiani na lugha ya kizungu ambapo wenzetu wanaita (right hand), nilitegemea kama na wao wangekuwa wanaaita (the eating hand).kumbe basi Kwa utofauti huu, matumizi ya mkono huu ni maamuzi yetu wenyewe.
  • Mkono wa kushoto
Huu kisayansi ndiyo mkono wenye nguvu, cha ajabu Kwetu, mkono huu tukafundishwa kuutumia kuchambia, yaani ukichamba Kwa mkono wa kuume unaonekana huna adabu, unaonekana siyo msitaarabu, huwa najiuliza, endapo Mkono huo ungekuwa wa kuchambia nazani mwenyezi Mungu asingeuweka sambamba mabegani na mkono wa kulia, nazani angeliuweka nyuma mgongoni juu ya makalio kabisa.
Mkono wa kushoto unaonekana kunyanyapaliwa zaidi, na pengine kuhusishwa na imani za kishirikina(chuma ulete) Mimi huwa najiuliza, hawa waliotohoa lugha basi wangekuwa waungwana wakaupa jina MKONO WA KUCHAMBIA ili kuonyesha majukumu kama ilivyo mkono wa KULIA.vivyo hivyo wazungu wao wanaita (left hand) jambo ambalo linakinzana na lugha yetu.
=========
Naomba anayefahamu zaidi atujuze
 
Kwani wewe mkono yako kuna anakupangia namna kuitumia? Umewahi sikia wapi mtu kashitakiwa Kwa kosa kutumia mikono yake? Ukiwa maliwatoni hata ukitumia mashine kujisafisha haitakusaidia, pambana na hali yako
 
Kwani wewe mkono yako kuna anakupangia namna kuitumia? Umewahi sikia wapi mtu kashitakiwa Kwa kosa kutumia mikono yake? Ukiwa maliwatoni hata ukitumia mashine kujisafisha haitakusaidia, pambana na hali yako
Mtu asiye juwa historia hajui kila kitu, kwani mm ni vibaya tukifahamishana chimbuko la kutumia mikono?
 
Habari za jumapili!
Mkono Wa kulia na kushoto ni maneno yanayoeleza namna mikono yetu ilivyo na kazi zake; naomba mtu anayejuwa vyema historia na chanzo cha matumizi atufahamishe, wengi tumejikuta tunakuwa, na pengine huko shule tulivyocharazwa tumejikuta tumezoea, Mimi nitajaribu kidogo anayejuwa atanisahihisha.
  • Mkono Wa kulia
Kwa uelewa wangu nadhani neno kulia lilitokana na neno KULA, hii nazani ni kwasasabu watu wengi walionyesha umahiri zaidi walipokula Kwa kutumia mkono huu ndiyo maana wakaubatiza jina la MKONO WA KULIA. Na pengine na mambo mengine yaliyoonekana kukaa upande wa kuume yalifuata mkumbo huu wa kuitwa (KULIA), pamoja na neno kulia kuonekana halishabihiani na lugha ya kizungu ambapo wenzetu wanaita (right hand), nilitegemea kama na wao wangekuwa wanaaita (the eating hand).kumbe basi Kwa utofauti huu, matumizi ya mkono huu ni maamuzi yetu wenyewe.
  • Mkono wa kushoto
Huu kisayansi ndiyo mkono wenye nguvu, cha ajabu Kwetu, mkono huu tukafundishwa kuutumia kuchambia, yaani ukichamba Kwa mkono wa kuume unaonekana huna adabu, unaonekana siyo msitaarabu, huwa najiuliza, endapo Mkono huo ungekuwa wa kuchambia nazani mwenyezi Mungu asingeuweka sambamba mabegani na mkono wa kulia, nazani angeliuweka nyuma mgongoni juu ya makalio kabisa.
Mkono wa kushoto unaonekana kunyanyapaliwa zaidi, na pengine kuhusishwa na imani za kishirikina(chuma ulete) Mimi huwa najiuliza, hawa waliotohoa lugha basi wangekuwa waungwana wakaupa jina MKONO WA KUCHAMBIA ili kuonyesha majukumu kama ilivyo mkono wa KULIA.vivyo hivyo wazungu wao wanaita (left hand) jambo ambalo linakinzana na lugha yetu.
=========
Naomba anayefahamu zaidi atujuze


Siyo Waafrika tu ni jamii karibia zote, sema wengi hasa Wazungu walisha move on, kama unavyojua sisi Waafrika bado, kwanza walioleta huu utaratibu ni Wazungu na Waarabu lkn siyo Utamaduni wetu, ni kama vile viboko shuleni!
 
Mada fikirishi sana hii mkuu.Afu huwa najiuliza sana mbona tukifua nguo tunaanzia nguo nyeupe??Huo nao sio aina ya ubaguzi kweli??
Hapo kwenye nguo nyeupe ni kwasababu nguo za rangi hutoa rangi kadri zinavyofuliwa, kwahiyo ni vyema Maji masafi yatumike kwenye nyeupe then umalizie na za rangi
TURUDI KWENYE MADA MKUU
 
Siyo Waafrika tu ni jamii karibia zote, sema wengi hasa Wazungu walisha move on, kama unavyojua sisi Waafrika bado, kwanza walioleta huu utaratibu ni Wazungu na Waarabu lkn siyo Utamaduni wetu, ni kama vile viboko shuleni!
Nasikia wahindi na baadhi ya mataifa ya ulaya wanachambia mkono wa kulia
 
Nasikia wahindi na baadhi ya mataifa ya ulaya wanachambia mkono wa kulia


Wazungu walisha move on hivyo mkono wa kuchambia hauna tofauti na mkono unaoutumia kila siku kama wewe ni umezaliwa mashoto au kulia, lkn zamani walikuwa kama sisi kwani wao ndio walioleta huu ,,ustaarabu" wa kulia na kushoto, Kiuafrrika hasa hatuna Kushoto wala Kulia!
 
Habari za jumapili!
Mkono Wa kulia na kushoto ni maneno yanayoeleza namna mikono yetu ilivyo na kazi zake; naomba mtu anayejuwa vyema historia na chanzo cha matumizi atufahamishe, wengi tumejikuta tunakuwa, na pengine huko shule tulivyocharazwa tumejikuta tumezoea, Mimi nitajaribu kidogo anayejuwa atanisahihisha.
  • Mkono Wa kulia
Kwa uelewa wangu nadhani neno kulia lilitokana na neno KULA, hii nazani ni kwasasabu watu wengi walionyesha umahiri zaidi walipokula Kwa kutumia mkono huu ndiyo maana wakaubatiza jina la MKONO WA KULIA. Na pengine na mambo mengine yaliyoonekana kukaa upande wa kuume yalifuata mkumbo huu wa kuitwa (KULIA), pamoja na neno kulia kuonekana halishabihiani na lugha ya kizungu ambapo wenzetu wanaita (right hand), nilitegemea kama na wao wangekuwa wanaaita (the eating hand).kumbe basi Kwa utofauti huu, matumizi ya mkono huu ni maamuzi yetu wenyewe.
  • Mkono wa kushoto
Huu kisayansi ndiyo mkono wenye nguvu, cha ajabu Kwetu, mkono huu tukafundishwa kuutumia kuchambia, yaani ukichamba Kwa mkono wa kuume unaonekana huna adabu, unaonekana siyo msitaarabu, huwa najiuliza, endapo Mkono huo ungekuwa wa kuchambia nazani mwenyezi Mungu asingeuweka sambamba mabegani na mkono wa kulia, nazani angeliuweka nyuma mgongoni juu ya makalio kabisa.
Mkono wa kushoto unaonekana kunyanyapaliwa zaidi, na pengine kuhusishwa na imani za kishirikina(chuma ulete) Mimi huwa najiuliza, hawa waliotohoa lugha basi wangekuwa waungwana wakaupa jina MKONO WA KUCHAMBIA ili kuonyesha majukumu kama ilivyo mkono wa KULIA.vivyo hivyo wazungu wao wanaita (left hand)
 
Mimi ni moja kati ya watu ambao wanatumia mkono wa kushoto kwa kuandikia, kula, kufanyia kazi, lakini nikiwa msaalani | chooni | huwa natumia mkono wa kulia, kwa sababu hakuna sheria inayosema ni lazima mkono wa kushoto tuchambie na wakulia tule chakula, mimi nimeamua kwenda tofauti sana na hata familia na jamii iliniona wa tofauti na kwenda mbele zaidi hata kunipinga vikali lakini niliamua kufanya ninachopenda huwezi amini katika ukoo wetu nimefanikiwa kuwashawishi ndugu zangu, marafiki zangu, familia yangu, hata jamii ninayo ishi wengi wao wanatumia mkono wa kushoto kwa sababu walivutiwa na mimi kutia mkono wa kushoto ingawa walinipinga na kutonikubali mwanzo.


Siku zote Fanya upendacho bila kujali dini watu maeneo kabila na jamik yako.
 
Mimi ni moja kati ya watu ambao wanatumia mkono wa kushoto kwa kuandikia, kula, kufanyia kazi, lakini nikiwa msaalani | chooni | huwa natumia mkono wa kulia, kwa sababu hakuna sheria inayosema ni lazima mkono wa kushoto tuchambie na wakulia tule chakula, mimi nimeamua kwenda tofauti sana na hata familia na jamii iliniona wa tofauti na kwenda mbele zaidi hata kunipinga vikali lakini niliamua kufanya ninachopenda huwezi amini katika ukoo wetu nimefanikiwa kuwashawishi ndugu zangu, marafiki zangu, familia yangu, hata jamii ninayo ishi wengi wao wanatumia mkono wa kushoto kwa sababu walivutiwa na mimi kutia mkono wa kushoto ingawa walinipinga na kutonikubali mwanzo.


Siku zote Fanya upendacho bila kujali dini watu maeneo kabila na jamik yako.
Mm nilishindwaga kutumia mkono wa kushoto chooni... Natumiaga wa kulia nikitika najifuta kabisa nitoke mikono imekauka ili nisijulikane natumiaga kulia..... Mhhh
 
Imani potofu zimetujaa Waafrika...huwa sijui kwa nini wanaulaumu sana mkono wa kushoto?? nijuavyo mimi mikono hii yote ni muhimu na inategemeana... unakuta mtu ameshika chakula na mkono wa kushoto anaambiwa acha huo ni mkono wa chooni...duuh
 
Back
Top Bottom