Anatisha watu tu ... wakati old version zipo kaziniWatu wanatumia windows XP na 7 sembuse 10. Pia machine yoyote ile inaingia win 11,
Naunga mkono hojaHizo biti ni kwa wale wanaotumia PC zao kwenye maofisi labda na shughuli rasmi...
Lakini kuna wadau wanaohitaji environment tu ya windows kupiga mzigo, hawana hata habari na hizo new updates...
Isikutishe hii bro! Microsoft Windows ni Operating system kama OS nyingine. Hivyo kama utashindwa kuimudu MS windows unaweza kutumia Linux, Ubuntu nk. Kwisha kaziMada hii imeshajadiliwa na wenzetu kabla. Hata hivyo kutokana na umuhimu wake ni muhimu kuijadili katika vipembe vingine kuzidi kuifahamu
Microsoft wameshatangaza kuwa toleo la windows 10 liliopo sasa litafikia ukomo ifikapo oktoba 2025.Watumiaji wake wataachwa kujikongoja na toleo hilo na kupata muda wa kufanya mabadiliko kuhamia toleo jipya mpaka 2028.
Watakaoshindwa kufanya mabadiliko hayo ambayo yatakuwa ya gharama basi itapelekea mamia ya mamilioni ya kompyuta duniani kutokuwa na kazi tena.
Pamoja na kuwa uamuzi huo utaongeza tatizo na kuongezeka kwa plastic duniani ambazo haziozi lakini hilo litakuwa lazima kwa kampuni hiyo ya microsoft ili kufikia malengo yake ya ifikapo mwaka 2030 kuwa carbon negative.
Haya wataalamu wa mambo ya electronic na mawasiliano ya kimtandao tupeni elimu zaidi kutuepusha na hasara.
Yahoo news
DuhWatu wanatumia windows XP na 7 sembuse 10. Pia machine yoyote ile inaingia win 11,
Windows zote kuanzia 10 usipolipia wanatoa tu uwezo wa kubadili wallpaper na Bado unaweza bypass, windows ni kama Bure tu siku hizi.Duh
Sasa hao wanaotumia windows xp/7 kwa kweli sio salama maana Explorer ishafutwa, na Chrome, Edge na Mozilla ndio ziko kwenye toleo la mwisho kuishia 2024 hawata support Window 7, 8, au 8.1
Hii mada ina maanisha kwenda kwa Window 11 itakuwa ni kulipia na sio bure ?
I was just prompted by windows 10 to upgrade to windows 11 and i did that. That was it.Eleza ulivyofika huko na sisi tuje mapema
Ndio maana kila daily unalalamika kwamba PC yako mbovu unashindwa ku post story on timeAnatisha watu tu ... wakati old version zipo kazini
Watu wanatumia windows XP na 7 sembuse 10. Pia machine yoyote ile inaingia win 11,