Mnaotumia barabara ya Kilwa kuingia Dar kuna foleni kali iliyosababishwa na ajali

Mnaotumia barabara ya Kilwa kuingia Dar kuna foleni kali iliyosababishwa na ajali

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
wale watumiaji wa barabara ya Kilwa ikiwemo wanaoingia jijini Dar es Salaam na wale wanaosafiri mikoa ya Kusini chukua tahadhari mapema, wengine huko wamelazimika kusubiri kwa zaidi ya saa sita baada ya ajali mbaya iliyohusisha magari matatu, bajaj na pikipiki kutokea katika eneo lenye kilima kikali karibu na daraja la bonde la Mto Mzinga Mbagala jijini Dar es Salaam.


 
Hivi kabla ya kufika Mandela Road huku Chamazi Chamazi kuna barabara kubwa ya kuchepuka kutoka Kilwa Road kuingia Dar katikati?

Hapo palitakiwa kuwa na ringroad kubwa ya kupita Kigamboni, Chamazi, Airport, Kinyerezi mpaka kuunga Morogoro Road, kukatiza Mabwepande huko mpaka Tegeta.

Yani mtu akiwa anatoka Lindi anakwenda Tegeta awe hahitaji hata kufika Mandela Road achepuke na barabara hiyo kutoka Chamazi afike mpaka Tegeta.
 
Hivi kabla ya kufika Mandela Road huku Chamazi Chamazi kuna barabara kubwa ya kuchepuka kutoka Kilwa Road kuingia Dar katikati?

Hapo palitakiwa kuwa na ringroad kubwa ya kupita Kigamboni, Chamazi, Airport, Kinyerezi mpaka kuunga Morogoro Road, kukatiza Mabwepande huko mpaka Tegeta.

Yani mtu akiwa anatoka Lindi anakwenda Tegeta awe hahitaji hata kufika Mandela Road achepuke na barabarahiyo kutoka Chamazi afike mpaka Tegeta.
Wazoefu wa maeneo hayo watujuze sisi wapita njia
 
Hivi kabla ya kufika Mandela Road huku Chamazi Chamazi kuna barabara kubwa ya kuchepuka kutoka Kilwa Road kuingia Dar katikati?

Hapo palitakiwa kuwa na ringroad kubwa ya kupita Kigamboni, Chamazi, Airport, Kinyerezi mpaka kuunga Morogoro Road, kukatiza Mabwepande huko mpaka Tegeta.

Yani mtu akiwa anatoka Lindi anakwenda Tegeta awe hahitaji hata kufika Mandela Road achepuke na barabarahiyo kutoka Chamazi afike mpaka Tegeta.
Pamoja na kuwa upo abroad ila unaijua vyema dar..

Vibarabara vya hapo mbagaraaaa ni vyembamba sanaa kiasi kwamba zilitakiwa kupanuliwa ziwe Pana

Hapa nipo ILALA muda huu nataka niende kariakoo one time then niende KIJICHI Nako kaa Sasa hapa naona sitoboiii

Hii njia ya kilwa road kuanzia mzinga mpaka mkuranga ni nyembamba sana huko kiparang'anda kikungo ni road nyembamba

Ukienda chamazii shidaaaaa tupuu hapo round about rangi 3 ni shida tupuu barabara finyu bajaji, pikipiki magari ni mengi mnoo
 
Pamoja na kuwa upo abroad ila unaijua vyema dar..

Vibarabara vya hapo mbagaraaaa ni vyembamba sanaa kiasi kwamba zilitakiwa kupanuliwa ziwe Pana

Hapa nipo ILALA muda huu nataka niende kariakoo one time then niende KIJICHI Nako kaa Sasa hapa naona sitoboiii

Hii njia ya kilwa road kuanzia mzinga mpaka mkuranga ni nyembamba sana huko kiparang'anda kikungo ni road nyembamba

Ukienda chamazii shidaaaaa tupuu hapo round about rangi 3 ni shida tupuu barabara finyu bajaji, pikipiki magari ni mengi mnoo
Kwa kweli mnahitaji kupanuliwa
 
Pamoja na kuwa upo abroad ila unaijua vyema dar..

Vibarabara vya hapo mbagaraaaa ni vyembamba sanaa kiasi kwamba zilitakiwa kupanuliwa ziwe Pana

Hapa nipo ILALA muda huu nataka niende kariakoo one time then niende KIJICHI Nako kaa Sasa hapa naona sitoboiii

Hii njia ya kilwa road kuanzia mzinga mpaka mkuranga ni nyembamba sana huko kiparang'anda kikungo ni road nyembamba

Ukienda chamazii shidaaaaa tupuu hapo round about rangi 3 ni shida tupuu barabara finyu bajaji, pikipiki magari ni mengi mnoo
Hauzijui njia ww tuulize sisi madereva wa bajaji
 
Huu utaratibu wa kujenga njia moja moja kila upande, ndo unaosababisha leo hii ikitokea ajali kidogo foleni inakuwa kubwa kila upande.

Nchi nyingi siku hizi hujenga line 6, yani line 3 kwenda line 3 kurudi.
 
Hivi kabla ya kufika Mandela Road huku Chamazi Chamazi kuna barabara kubwa ya kuchepuka kutoka Kilwa Road kuingia Dar katikati?

Hapo palitakiwa kuwa na ringroad kubwa ya kupita Kigamboni, Chamazi, Airport, Kinyerezi mpaka kuunga Morogoro Road, kukatiza Mabwepande huko mpaka Tegeta.

Yani mtu akiwa anatoka Lindi anakwenda Tegeta awe hahitaji hata kufika Mandela Road achepuke na barabara hiyo kutoka Chamazi afike mpaka Tegeta.
Ipo unapitia Chanika, Pugu, Kinyerezi, Magufuli Bus Stand, Goba, Madale, Wazo Hill, then Tegeta. Tatizo Watz wanapenda kupita City Centre ili wakashangae!
 
Hauzijui njia ww tuulize sisi madereva wa bajaji
Ulikuja dar lini? Mimi Kila siku nipo town ndio maisha yangu.

Wapi nisipo pajua embu orodhesha izo njia mpya...

Utasema ile ya buza kwa mparange kuja mpaka njia panda ya nzasa au uje utokee kwa mbiku

Kuna yakupitia TAIFA hapo mataa upite nyuma nyuma mpaka temeke utokezee ama Aziz ally au mtongani..

Mkuu Mbagala ipi iyo unataka kunielezea???
 
Ulikuja dar lini? Mimi Kila siku nipo town ndio maisha yangu.

Wapi nisipo pajua embu orodhesha izo njia mpya...

Utasema ile ya buza kwa mparange kuja mpaka njia panda ya nzasa au uje utokee kwa mbiku

Kuna yakupitia TAIFA hapo mataa upite nyuma nyuma mpaka temeke utokezee ama Aziz ally au mtongani..

Mkuu Mbagala ipi iyo unataka kunielezea???
Ukiwa unatokea Kusini na hautaki kupita City Centre kwenda Tegeta kuna njia ya kupita Chanika, Pugu, Kinyerezi, Magufuli, Goba, Madale Wazo Hill then Tegeta na haina foleni kabisa na ni lami tupu.
 
Ipo unapitia Chanika, Pugu, Kinyerezi, Magufuli Bus Stand, Goba, Madale, Wazo Hill, then Tegeta. Tatizo Watz wanapenda kupita City Centre ili wakashangae!
Yes ipo nafikiri ile inayopita gari za Dondwe na za Chanika toka Mbagala Rangi3.
Tatizo la hapo mlima wa kutoka Kongowe, Mto Mzinga kufika Rangi 3.
Labda watu wapite ya Kongowe, Kigamboni, kisha City Center au kutokea Kurasini hadi Taifa.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Yes ipo nafikiri ile inayopita gari za Dondwe na za Chanukah toka Mbagala Rangi3.
Tatizo la hapo mlima wa kutoka Kongowe, Mto Mzinga kufika Rangi 3.
Labda watu wapite ya Kongowe, Kigamboni, kisha City Center au kutokea Kurasini hadi Taifa.
Hufiki Mbagala Rangi Tatu ni maeneo ya Azam huko tu unakata kuelekea Chanika.
 
Hivi kabla ya kufika Mandela Road huku Chamazi Chamazi kuna barabara kubwa ya kuchepuka kutoka Kilwa Road kuingia Dar katikati?

Hapo palitakiwa kuwa na ringroad kubwa ya kupita Kigamboni, Chamazi, Airport, Kinyerezi mpaka kuunga Morogoro Road, kukatiza Mabwepande huko mpaka Tegeta.

Yani mtu akiwa anatoka Lindi anakwenda Tegeta awe hahitaji hata kufika Mandela Road achepuke na barabara hiyo kutoka Chamazi afike mpaka Tegeta.
njia ipo na kama kumbukumbu zangu zipo vizuri hata jokate (skumbuki alikua na cheo gani wakati huo) alitangaza barabara ikikamilika itasaidia kupunguza foleni ya kilwa road

mbagala rangi tatu >> charambe kwa mbiku >> kilungule >> buza hapo sasa mtu anaendelea mwenyewe kama airport au kungineko

sjajua mradi uliishia vipi ,, ila kwa clip ya kwenye uzi hapo mzinga miaka nenda rudi hali ipo hivo mara ya mwisho clouds media walikua hapo hapo wakiangazia ubovu wa daraja hilo (lilikua na nyufa)

ila hiyo njia ya chamazi yenyewe foleni ni suala la kawaida sana
 
Pamoja na kuwa upo abroad ila unaijua vyema dar..

Vibarabara vya hapo mbagaraaaa ni vyembamba sanaa kiasi kwamba zilitakiwa kupanuliwa ziwe Pana

Hapa nipo ILALA muda huu nataka niende kariakoo one time then niende KIJICHI Nako kaa Sasa hapa naona sitoboiii

Hii njia ya kilwa road kuanzia mzinga mpaka mkuranga ni nyembamba sana huko kiparang'anda kikungo ni road nyembamba

Ukienda chamazii shidaaaaa tupuu hapo round about rangi 3 ni shida tupuu barabara finyu bajaji, pikipiki magari ni mengi mnoo
kijichi hii serikali hela ilipiga hasa hii barabara ya chekechea - zakhiem/kijichi

kama kawaida yao majaliwa anakuja mfokea mkurugenzi mwisho wa mradi kwenye kukagua

hii nchi script ni ile ile
 
Ulikuja dar lini? Mimi Kila siku nipo town ndio maisha yangu.

Wapi nisipo pajua embu orodhesha izo njia mpya...

Utasema ile ya buza kwa mparange kuja mpaka njia panda ya nzasa au uje utokee kwa mbiku

Kuna yakupitia TAIFA hapo mataa upite nyuma nyuma mpaka temeke utokezee ama Aziz ally au mtongani..

Mkuu Mbagala ipi iyo unataka kunielezea???
mkuu hivi hii ya kwa mbiku ilishakamilika?
 
Haya wenye Dar yenu muelekezane vizuri hizo barabara na city center sijui, sisi wa itigi kwa leo tutasona comment tu..
 
Back
Top Bottom