ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Tudaidieni mbinu maana sisi wengine salary huwa inakata ndani kabla ya tarehe 7 baada ya kutoka,tunabakia tunaponea kwenye posho.
Kwa sasa Posho imecheleweshwa boss kasafiri naona kama vile ni mwezi mwingine nimeingia bila salary 🤣🤣
Sasa ndio najiuliza Watumishi wenzangu huwa mnatoboaje bila posho?
Kwa sasa Posho imecheleweshwa boss kasafiri naona kama vile ni mwezi mwingine nimeingia bila salary 🤣🤣
Sasa ndio najiuliza Watumishi wenzangu huwa mnatoboaje bila posho?