Mnaotarajia kuandamana someni hii...

Mnaotarajia kuandamana someni hii...

Hawa hawana maandamano wala nini, ila makelele tu, Maandamano ya Mbeya hawatoi mrejesho yaliishia wapi?
 
Epuka fujo, kimbia vurugu, acha choko choko, kubali kuwa mjinga mwenye faida, kuliko kuwa mjanja mwenye hasara. Kwa mwoga huenda kicheko, lkn kwa shujaa huja kilio. Baadhi ya watu wamo gerezani, pasipo kutarajia, kwa sababu tu, walisukumana na mtu mgonjwa, akafa kwa kuanguka. Idadi kubwa ya watu ambao hawajasoma, si kwamba walikua hawana akili shuleni, lkn chanzo ni wazazi wao, walifanyiana vurugu, wakatengana, na watoto wakaambulia hasara. Angola ni nchi tajiri sana, lkn haina wataalamu wengi, kwa ajili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, iliyo dumu kwa miaka 35, pia vilema ni wengi, kwa ajili ya land mines, mabomu ya ardhini, yaliyo achwa wakati wa vita hivyo, na serikali inatumia fedha nyingi sana kuyaondosha, maana wakulima wanashindwa kuzalisha, ingawa ardhi ina rutuba.Hayo ni baadhi tu ya athari za vurugu, choko choko na fujo. Tanzania ni nchi nzuri mno, watu wake ni waungwana pia serikali haina dini, raia wana uhuru wa kuabudu, katika dini yoyote, mradi tu ufuate sheria na kanuni zilizopo, oa na olewa na yeyote umpendaye, kwa dini yoyote, siku na saa yoyote, la endapo huko kwenye dini hawakutaki, lkn ukienda kwa mkuu wa wilaya atakufungishia ndoa yako. Tanzania mnataka nini? waTanzania nyie, Mungu awape nn? Kila mtu, kila kiumbe kina mapungufu yake, ndiyo maana, tunakula samaki lkn miiba yake, tunaitoa, samaki ana shombo, tunamtia ndimu, lkn je si tunamla? Basi na maisha, na watu, wapo ivyo ivyo, tuangalie mazuri yao, na mapungufu yao, ni kawaida hiyo, Mungu mwenyewe, ameumba viumbe vyote vipo hivyo hivyo. Je hili nalo linahitaji mahubiri ya padre, shehe na mchungaji? Hebu fikicha ubongo, Mtanzania, ili ujifikirie, kama wakimbizi wa DRC, Burundi, wanakimbilia Tanzania, je ww mTanzania ukifanya fujo utakimbilia wapi????
Nawakilisha nikiwa mpakani kabisa na msumbuji huku,[HASHTAG]#Mtajijua[/HASHTAG] wenyewe..
Hamna urafiki,amani,haki kwenye njaa mkuu, acha tukiwashe tuone inakuwaje
 
Umetumwa na nani?

Nani kasema kutakua na vurugu? Maandamano ni ya amani, wewe kimekuwasha nini?

Vurugu na vita zinaanza vipi? Siraha zote wanazo serikali!
Nchi ya Amani tunaogopaje kufanya maandamano ya amani ..........!!?

Mimi hapo ndipo huwa nashindwa kupata picha .......... kwa nini police waogope kusimamia mandamano ya amani kwenye nchi ya amani ......... Kenya pamoja na matatizo yao wameweza kumapisha Odinga kwa amani.
 
Epuka fujo, kimbia vurugu, acha choko choko, kubali kuwa mjinga mwenye faida, kuliko kuwa mjanja mwenye hasara. Kwa mwoga huenda kicheko, lkn kwa shujaa huja kilio. Baadhi ya watu wamo gerezani, pasipo kutarajia, kwa sababu tu, walisukumana na mtu mgonjwa, akafa kwa kuanguka. Idadi kubwa ya watu ambao hawajasoma, si kwamba walikua hawana akili shuleni, lkn chanzo ni wazazi wao, walifanyiana vurugu, wakatengana, na watoto wakaambulia hasara. Angola ni nchi tajiri sana, lkn haina wataalamu wengi, kwa ajili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, iliyo dumu kwa miaka 35, pia vilema ni wengi, kwa ajili ya land mines, mabomu ya ardhini, yaliyo achwa wakati wa vita hivyo, na serikali inatumia fedha nyingi sana kuyaondosha, maana wakulima wanashindwa kuzalisha, ingawa ardhi ina rutuba.Hayo ni baadhi tu ya athari za vurugu, choko choko na fujo. Tanzania ni nchi nzuri mno, watu wake ni waungwana pia serikali haina dini, raia wana uhuru wa kuabudu, katika dini yoyote, mradi tu ufuate sheria na kanuni zilizopo, oa na olewa na yeyote umpendaye, kwa dini yoyote, siku na saa yoyote, la endapo huko kwenye dini hawakutaki, lkn ukienda kwa mkuu wa wilaya atakufungishia ndoa yako. Tanzania mnataka nini? waTanzania nyie, Mungu awape nn? Kila mtu, kila kiumbe kina mapungufu yake, ndiyo maana, tunakula samaki lkn miiba yake, tunaitoa, samaki ana shombo, tunamtia ndimu, lkn je si tunamla? Basi na maisha, na watu, wapo ivyo ivyo, tuangalie mazuri yao, na mapungufu yao, ni kawaida hiyo, Mungu mwenyewe, ameumba viumbe vyote vipo hivyo hivyo. Je hili nalo linahitaji mahubiri ya padre, shehe na mchungaji? Hebu fikicha ubongo, Mtanzania, ili ujifikirie, kama wakimbizi wa DRC, Burundi, wanakimbilia Tanzania, je ww mTanzania ukifanya fujo utakimbilia wapi????
Nawakilisha nikiwa mpakani kabisa na msumbuji huku,[HASHTAG]#Mtajijua[/HASHTAG] wenyewe..

Kwasababu umeshibaa,una uhakika na mshahara,sehemu ya kulala nzuri ndio maana unaongea hayo umefikiria kundi kubwa la watu wanaokosa vyote hivyo??
Wachaa wafanye wanachoona sahihi ili ujumbe umfikiee ajue ni jinsi gani watu wanataabikaaa
Ht wakiuaa kuna atakaeishi milele[emoji57][emoji57]
 
Nchi ya Amani tunaogopaje kufanya maandamano ya amani ..........!!?

Mimi hapo ndipo huwa nashindwa kupata picha .......... kwa nini police waogope kusimamia mandamano ya amani kwenye nchi ya amani ......... Kenya pamoja na matatizo yao wameweza kumapisha Odinga kwa amani.

Wanaleta swaga za kisekondali, mkuu wa shule anatishia kufukuza wanafunzi! Kibaya zaidi wameshindwa kujifunza hata kwa majirani Kenya
 
Subiri hiyoo 26 ndio utasikia polisi wamewaonea wakati taarifa ya matokeo wanayo kabla hawajaandamana ...mkifumliwa mkae kimya ...msilalamike
 
Kama cyo Mapinduzi Zanzibar tusingekuwa nayo leo. Wenzetu hawakutaka kuepuka fujo, kukimbia vurugu, chokochoko, wala kukubali kuwa wajinga wenye faida bali walikubali kuwa wajanja wenye hasara mwanzo lakini faida baadae. So usitukatishe tamaa tutaandamana maaana ni haki yetu ya msingi
 
Hakuna atakaye andamana hususani Humu Jamiiforum, Wataweka nukuu nyingi ila Nina hakika hakuna, nasematena hakuna mwenye kuandamana. Izi ni mbwembwe kama zilivyo za UKUTA.
 
Hta cjasoma.
8dafdcea626ea6563363ee774c28d2f6.jpg
 
Epuka fujo, kimbia vurugu, acha choko choko, kubali kuwa mjinga mwenye faida, kuliko kuwa mjanja mwenye hasara. Kwa mwoga huenda kicheko, lkn kwa shujaa huja kilio.

Baadhi ya watu wamo gerezani, pasipo kutarajia, kwa sababu tu, walisukumana na mtu mgonjwa, akafa kwa kuanguka.

Idadi kubwa ya watu ambao hawajasoma, si kwamba walikua hawana akili shuleni, lkn chanzo ni wazazi wao, walifanyiana vurugu, wakatengana, na watoto wakaambulia hasara.

Angola ni nchi tajiri sana, lkn haina wataalamu wengi, kwa ajili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, iliyo dumu kwa miaka 35, pia vilema ni wengi, kwa ajili ya land mines, mabomu ya ardhini, yaliyo achwa wakati wa vita hivyo, na serikali inatumia fedha nyingi sana kuyaondosha, maana wakulima wanashindwa kuzalisha, ingawa ardhi ina rutuba.

Hayo ni baadhi tu ya athari za vurugu, choko choko na fujo. Tanzania ni nchi nzuri mno, watu wake ni waungwana pia serikali haina dini, raia wana uhuru wa kuabudu, katika dini yoyote, mradi tu ufuate sheria na kanuni zilizopo, oa na olewa na yeyote umpendaye, kwa dini yoyote, siku na saa yoyote, la endapo huko kwenye dini hawakutaki, lkn ukienda kwa mkuu wa wilaya atakufungishia ndoa yako.

Tanzania mnataka nini? waTanzania nyie, Mungu awape nn? Kila mtu, kila kiumbe kina mapungufu yake, ndiyo maana, tunakula samaki lkn miiba yake, tunaitoa, samaki ana shombo, tunamtia ndimu, lkn je si tunamla? Basi na maisha, na watu, wapo ivyo ivyo, tuangalie mazuri yao, na mapungufu yao, ni kawaida hiyo, Mungu mwenyewe, ameumba viumbe vyote vipo hivyo hivyo.

Je, hili nalo linahitaji mahubiri ya padre, shehe na mchungaji? Hebu fikicha ubongo, Mtanzania, ili ujifikirie, kama wakimbizi wa DRC, Burundi, wanakimbilia Tanzania, je ww mTanzania ukifanya fujo utakimbilia wapi?

Nawakilisha nikiwa mpakani kabisa na msumbuji huku,[HASHTAG]#Mtajijua[/HASHTAG] wenyewe..
Wewe watu wote wangekua na akili kama yako wala uhuru tusingepata. Bora ungejenga hoja ya msingi ya kwa nini unadhani haya maandamo hayana tija kitaifa wala kiuchumi, ungeeleza matarajio mema ya mbeleni yatokanayo na utendaji wa serikali kuliko kujenga hoja yako katika woga. Ingekua hivyo hata rais angeogopa kuchukua hatua azichukuazo kuhusu ufisadi. Uwoga na ubinafsi haujengi nchi
 
Back
Top Bottom