escrow
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 371
- 321
Bora kufa kishuja kuliko kufa kwa fedheha,, acha damu yetu imwagilie aridhi ya Tanzania kwa ajiri ya vizazi vijavyo.
Kufa kupo tu haina haja ya kuogopa hata kidogo!!
Watu wachache hawawezi kutufanya tukaishi kama vicha ndan ya nchi yetu hii ni dharau kubwa Sana.
Walikupa madaraka wanakwambia Wana njaa kwa sababu ya ukame unawaambia "MNATAKA NIJE NAWAPIKIE!?" Madaraka hulevya, huleta majivuno, huleta dharau bila kujua kuwa ni dhamana.
Kiongozi wa wanyonge, wanyonge wanakulilia unawatukana!?? Kweli kama sio dharau ni nini??
Watu Walikupa madaraka wanakwambia mtu fulan hawamtaki unawaambia wasikupangie kazi, kama sio dharau ni nn?? Yapo mengi ya kuhoji ila kwa sababu unawazuia watu kuhoji! Ndio maana wanatafuta njia mbadala ya kusema.
Kufa kupo tu haina haja ya kuogopa hata kidogo!!
Watu wachache hawawezi kutufanya tukaishi kama vicha ndan ya nchi yetu hii ni dharau kubwa Sana.
Walikupa madaraka wanakwambia Wana njaa kwa sababu ya ukame unawaambia "MNATAKA NIJE NAWAPIKIE!?" Madaraka hulevya, huleta majivuno, huleta dharau bila kujua kuwa ni dhamana.
Kiongozi wa wanyonge, wanyonge wanakulilia unawatukana!?? Kweli kama sio dharau ni nini??
Watu Walikupa madaraka wanakwambia mtu fulan hawamtaki unawaambia wasikupangie kazi, kama sio dharau ni nn?? Yapo mengi ya kuhoji ila kwa sababu unawazuia watu kuhoji! Ndio maana wanatafuta njia mbadala ya kusema.