Avith almachius
Senior Member
- Aug 20, 2022
- 167
- 170
Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Umebeba boga hapo shingoni, kakojoe ulaleKwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Jibu kwanza hili swali hapa chini ili upate jibu lako kwa urahisi;Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Kwa wakati huu hata hustahili kuambiwa tena kwani ulikuwa usingizini ama kwa kupuuza ama mazoea hadi kuigharimu nguvu kazi ya tsifa hili sii tu mali bali hata na maisha kisa kukosa usikivu ama kuthamini maslahi ya wachache ama kikundi cha wachache,hivi sasa ni hatua za majerui kuona ahadi mpya zitafanana na uongo wa wakati wote ama utekelezaji utafanya kulingana na mahitaji ya wenye kutoa mamlaka na kutarajia matokeo kwa ahadi z8lizototewa hasa zile za marekebisho zilizopuuzwa kwa muda mrefu.?Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Yameisha semwa sana, why unauliza wkt majibu yako mitandaoni?Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
kimsingi kwa yaliyotokea trh 29 ,samuya hakutakiwa kuwa alipo. Unadhani hiyo 9 Dec itakija na mabadiliko gani?Yameisha semwa sana, why unauliza wkt majibu yako mitandaoni?
Hongera. Kwa leo tu huu ni wa 40 au 60. Uliweka na picha yako. Umesahau kuweka namba yako ya simu kama bro wako Lucas MwashambwaKwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Tume huru ya uchaguzi,utekaji....Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Tegesha hiko Kinyeo, Dec 9 ,utaelewaKwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Kwa sababu bikra ya uoga wa maandamano ilishatolewa mo29Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Kwanini mnataka KUANDAMANA?
Nasoma comment Kama hujui kaa kimya.
Mmh!,kwa afrika haiwezekani