GE2025 Mnaosema Samia ajiuzulu, ajiuzulu nini?

GE2025 Mnaosema Samia ajiuzulu, ajiuzulu nini?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Agent-47

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
783
Reaction score
2,780
Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu.

Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike tutamuita kujibu tuhuma za mauaji dhidi ya wapendwa wetu.

Hivyo tu.
 
Siyo Kuwa mud wake umekwisha?

Kama ni Rais kwanini jana CDF ndo alihutubia umma? Na yeye hajasema lolote kama amir jesh mkuu

hilo la cdf siwezi kuliezea kwa maana sielewi kwa nini hata alijitokeza kuongea, lkn katiba ya tanzagiza inasema raisi aliyepo uraisi wake unakoma pale mwingine anapoapishwa, hivyo “kikatiba” anabakia kuwa raisi mpaka mwingine aapishwe ….
 
kikatiba bado ni raisi wa nchi mpaka pale mwingine atapoapishwa, labda kama kuna mapinduzi lkn kikatiba kuna raisi 1 mmoja tu at a time ...
Kuna watu hawako interested na katiba, wanaitajataja katiba tu kwa kuwa wana jambo lao.

Ukiwabana wakupe kifungu gani cha katiba kinasema Samia si rais hawawezi kukupa hicho kifungu, wanakuja na stories zao nyingi tu.

Samia ana makosa mengi sana na hafai kuwa rais, kitendo chake cha kushindwa kudhibiti watu kutekwa na mauaji tu, kama si kuratibu, kinamkosesha sifa za kuwa rais.

Kiukweli kwa haki kabisa Samia alitakiwa kushtakiwa ICC.

Lakini kama ulivyosema, urais hauwezi kuwa na power vacuum. Nature abhors a vacuum.

Rais anakuwa rais mpaka mwingine anapoapishwa.
 
Samia siyo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba. Uchaguzi haukuwepo kwahiyo hajachaguliwa tena. Hana cha kujiuzulu. Labda tu asaidiane na wengine kutuletea serikali ya mpito, aende apumzike tutamuita kujibu tuuma za mauaji dhidi ya wapendwa wetu.

Hivo tu.
Samia si rais wa Tanzania kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba?

Kiweke hapa neno kwa neno tukichambue.
 
Urais wake utakwisha pale atakapo apishwa rais mwingine,

Hata US iko hivyo,

Kama unakumbuka Magufuli alishinda kwenye uchaguzi ila Kikwete aliendelea kua rais mpaka siku aliyo apishwa Magufuli.
 
Samia si rais wa Tanzania kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba?

Kiweke hapa neno kwa neno tukichambue.
Basi ni Rais, Samia bado ni Rais wa Tanzania
Watu wanavyosema Samia sio Rais, usichukulie serious. Ni hasira tu walio nayo. Inshort huyu mama tunamchukia na hatutoruhusu atuongoze muhula mwingine kwa kweli. Haya maandamano yamezidi, hadi mikoani watu wengi wanaandamana na hawana hata plan za kustop. Hata maandamano ya Kenya hayakuwa makubwa hivi 🥲
 
Samia si rais wa Tanzania kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba?

Kiweke hapa neno kwa neno tukichambue.
Hii ni katiba isiyoandikwa…
Unwritten constitution. Hatumtambui, yeye na genge lake la kina kikwete. Kama unamtetea kapande naye ndege nendeni zenu Oman. Tunaelekea ikulu sasa na hatupoi…
 
Hii ni katiba isiyoandikwa…
Unwritten constitution. Hatumtambui, yeye na genge lake la kina kikwete. Kama unamtetea kapande naye ndege nendeni zenu Oman. Tunaelekea ikulu sasa na hatupoi…

Tanzania tuna katiba iliyoandikwa.

Usiseme katiba, sema kitu kingine, sema habari ya Samia kukosa uhalali kwa sababu ya haki, kwa sababu ya kuvunja social contract, kwa sababu haungwi mkono na watu wengi, kwa sababu kashindwa kuongoza.

Huna uhaba wa vitu vya kumkosoa Samia. Kwa nini unamtungia habati ya katiba ambayo haipo na haina ukweli?

Ukisema katiba, Tanzania ina katiba iliyoandikwa.

Na uhalali wa kikatiba si uhalali wa kisiasa na kijamii. Kwa hivyo huhitaji kuongelea sana uhalali wa kikatiba kama rais hakubaliki na watu, anashindwa kuzuia au anapanga mauaji.

Samia mwenyewe kasema katiba ni kijitabu tu.

Wapinzani wake wanataka mabadiliko ya kikatiba kwa sababu hawaitaki katiba iliyopo.

Sasa unaingiaje katika mtego wa kulazimisha uhalali wa kikatiba kama tuna katiba inayokubalika sana?

Kwa nini unajiona unahitaji kudanganya habari za katiba wakati Samia mwenyewe kashasema katiba ni kijitabu tu na wapinzani wake wanataka mabadiliko ya katiba?

Unaelewa kuwa hata makaburu wa Afrika Kusini walitawala kwa katiba, lakini katiba yao ilikuwa haina uhalali kwa sababu ilisimamia ubaguzi wa rangi?

Kwa nini unaingia katika mtego wa ku litigate katiba wakati katiba yenyewe haina uhalali kwa sababu haijawekwa na watu imewekwa na Nyerere na chawa wake tu?
 
Tanzania tuna katiba iliyoandikwa.

Usiseme katiba, sema kitu kingine, sema habari ya Samia kukosa uhalali kwa sababu ya haki, kwa sababu ya kuvunja social contract, kwa sababu haungwi mkono na watu wengi, kwa sababu kashindwa kuongoza.

Huna uhaba wa vitu vya kumkosoa Samia. Kwa nini unamtungia habati ya katiba ambayo haipo na haina ukweli?

Ukisema katiba, Tanzania ina katiba iliyoandikwa.

Na uhalali wa kikatiba si uhalali wa kisiasa na kijamii. Kwa hivyo huhitaji kuongelea sana uhalali wa kikatiba kama rais hakubaliki na watu, anashindwa kuzuia au anapanga mauaji.

Samia mwenyewe kasema katiba ni kijitabu tu.

Wapinzani wake wanataka mabadiliko ya kikatiba kwa sababu hawaitaki katiba iliyopo.

Sasa unaingiaje katika mtego wa kulazimisha uhalali wa kikatiba kama tuna katiba inayokubalika sana?

Kwa nini unajiona unahitaji kudanganya habari za katiba wakati Samia mwenyewe kashasema katiba ni kijitabu tu na wapinzani wake wanataka mabadiliko ya katiba?

Unaelewa kuwa hata makaburu wa Afrika Kusini walitawala kwa katiba, lakini katiba yao ilikuwa haina uhalali kwa sababu ilisimamia ubaguzi wa rangi?

Kwa nini unaingia katika mtego wa ku litigate katiba wakati katiba yenyewe haina uhalali kwa sababu haijawekwa na watu imewekwa na Nyerere na chawa wake tu?
Ngoja Kwanza nitakujibu baadae, nimerushiwa kitoa machozi 😢
 
Dr Samia Suluhu Hassan hawezi kujiuzulu kwa kelele za wahalifu wachache. Atatangazwa mshindi na kuapishwa ndani ya siku 7. Ndo rais hadi 2030.
 
Dr Samia Suluhu Hassan hawezi kujiuzulu kwa kelele za wahalifu wachache. Atatangazwa mshindi na kuapishwa ndani ya siku 7. Ndo rais hadi 2030.
Anakuwaje rais sasa wakati yupo mafichoni huko Oman, 😂😂😂

Na akitua nchini anakutana na nguvu ya umma, atwambie nini maana ya nywinywinywi!!!
 
Anatakiwa atoke mafichoni ajisalimishe na awaambie askari waweke silaa chini amekataliwa na umma
 
Kuna watu hawako interested na katiba, wanaitajataja katiba tu kwa kuwa wana jambo lao.

Ukiwabana wakupe kifungu gani cha katiba kinasema Samia si rais hawawezi kukupa hicho kifungu, wanakuja na stories zao nyingi tu.

Samia ana makosa mengi sana na hafai kuwa rais, kitendo chake cha kushindwa kudhibiti watu kutekwa na mauaji tu, kama si kuratibu, kinamkosesha sifa za kuwa rais.

Kiukweli kwa haki kabisa Samia alitakiwa kushtakiwa ICC.

Lakini kama ulivyosema, urais hauwezi kuwa na power vacuum. Nature abhors a vacuum.

Rais anakuwa rais mpaka mwingine anapoapishwa.
Samia ni Rais kwenye karatasi tu. Kiuhalisia si Rais.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanakufa na yeye hajajaribu hata mara moja kutuliza hali.

At the same time, wananchi tunamlipa mshahara wake na benefits zingine zinazoendana na kazi yake.

That’s dereliction of duty.

Ume notice kuwa uongozi wote wa juu wa serikali uko kimya?

We pay these bastards to work for us. Now where are they?
 
Samia ni Rais kwenye karatasi tu. Kiuhalisia si Rais.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanakufa na yeye hajajaribu hata mara moja kutuliza hali.

At the same time, wananchi tunamlipa mshahara wake na benefits zingine zinazoendana na kazi yake.

That’s dereliction of duty.

Ume notice kuwa uongozi wote wa juu wa serikali uko kimya?

We pay these bastards to work for us. Now where are they?
Naam.

Nimeelezea kuwa hatuhitaji kutunga uongo kuhusu uhalali wa kikatiba wa Samia wakati Samia hana uhalali wa kisiasa wala kijamii, kwenye post #11 hapo juu.
 
Siyo Kuwa mud wake umekwisha?

Kama ni Rais kwanini jana CDF ndo alihutubia umma? Na yeye hajasema lolote kama amir jesh mkuu
hiki kipindi internet mlitoa wapi aisee,
 
Back
Top Bottom