huy mshana huwa anapinga hakuna Mungu,..sasa mnamwita aje kukejeli au??mnamuita mshana kwani anasali huko wakuu au? Anyway huyu ndo mtaalam wa hizi mambo
za kufundishwa,changanya na za kwako,dini ni imaniKatika ulimwengu huu wa leo imani ni pesa tu hakuna ukweli kabisa niliona ktk kanisa la kakobe eti viwete wanaokuja kwa mara ya kwanza kanisani wanatembea hapo hapo wakati huo kuna viwete wapo kila siku hapo kanisanu hawatembei
Iko hivi Mimi nasali pale anayeponya ni Yesu Kristo yeye anomba tu ila anakibali sana kwa Mungu kutokana anavyojitoa kuutafuta Uso Wa Mungu suala la mtu kupona aliye kanisani hapa unatakiwa ujue lengo la mtu kupokea uponyaji nini kiimani jibu ni ili tu azidi kumuamini kristo mf mgeni Anapopona ni rahisi kuwavuta wengi waliojua hali yake hapo mwanzo na yy imani yake kupanda zaidi ili akae na wokovu sababu hata akipona bado kufa kupo hivyo lengo ni roho yake mtu isipotee hata kama akipona
Hivi mahubiri yenu yanatoka kwa dvd au cd?Karibu kesho Ufufuo na Uzima ukafundishwe madhara ya kuota ndoto unakula vyakula au unafanya mapenzi ndotoni. Vikwazo vizito kwenye maisha yako moja ya sababu ni hizo, karibu upate ufumbuzi.
Tuliza mzuka, kwani mshenga wa lowasa hujui???LOWASA kaingiaje mkuu ,au ushapiga kinywaji chako cha Banana
Uwe unatumia NUKTA na COMMAIko hivi Mimi nasali pale anayeponya ni Yesu Kristo yeye anomba tu ila anakibali sana kwa Mungu kutokana anavyojitoa kuutafuta Uso Wa Mungu suala la mtu kupona aliye kanisani hapa unatakiwa ujue lengo la mtu kupokea uponyaji nini kiimani jibu ni ili tu azidi kumuamini kristo mf mgeni Anapopona ni rahisi kuwavuta wengi waliojua hali yake hapo mwanzo na yy imani yake kupanda zaidi ili akae na wokovu sababu hata akipona bado kufa kupo hivyo lengo ni roho yake mtu isipotee hata kama akipona
namba 10Wajinga ndo waliwao huyo mama anakibali namba ngapi toka kwa Muumba wetu??
NAWAJUAEti Mungu wa Israel, unawajua waisrael wewe au kujipendekeza tu!
Katika ulimwengu huu wa leo imani ni pesa tu hakuna ukweli kabisa niliona ktk kanisa la kakobe eti viwete wanaokuja kwa mara ya kwanza kanisani wanatembea hapo hapo wakati huo kuna viwete wapo kila siku hapo kanisanu hawatembei
Yapo kwa DVD na CD ndugu yanguHivi mahubiri yenu yanatoka kwa dvd au cd?
Ngoja nikujibu, nini maana ya msukule. Ukisoma Isaya 45:22, utaona kuwa Isaya aliona katika ulimwengu wa roho, watu wanawindwa wakaibiwa na kutekwa,aliwaona wakiwa mateka, wamefichwa kwenye magereza na kwenye mashimo lakini hakuwepo mtu yeyote wa kuwaokoa wala aliyemwambia yule aliyewateka awarudishe hao mateka.Khaaaa! We vipi jamani hujibu maswali unaleta story???
Ngoja nikujibu, nini maana ya msukule. Ukisoma Isaya 45:22, utaona kuwa Isaya aliona katika ulimwengu wa roho, watu wanawindwa wakaibiwa na kutekwa,aliwaona wakiwa mateka, wamefichwa kwenye magereza na kwenye mashimo lakini hakuwepo mtu yeyote wa kuwaokoa wala aliyemwambia yule aliyewateka awarudishe hao mateka.
Kitabu cha Isaya ni maono, maana yake alikuwa anayaona mambo yanayotokea katika ulimwengu wa roho (usioonekana). Kuelezea misukule ni a bit complex lakini hebu nijaribu. Shetani anaitwa BABA WA UONGO na Yesu, maana yake anaweza kufanya uongo na kila mtu akadhani ni kweli. Unaweza kumwona mtu amekufa kwa ajali ya gari, ugonjwa au kitu chochote lakini in actual sense mtu yule hajafa, unaona kiini macho tu. Wachawi wanamwiba mtu na badala yake wanaweka jini/shetani ambalo linacopy sura ya marehemu kabisa akiwa amekufa, mashuhuda wataona maiti kabisa lakini ni jini limefake sura ya Mr. X. Wanamchukua Mr. X akiwa mzima kabisa wanampa na kumwingiza kwenye ulimwengu wa kutokuonekana, au anavaliwa na shetani maalum ambalo linamfanya asionekane katika ulimwengu huu wa mwili.
Mtu huyo atakwenda kufanya kazi anazozitaka huyo mchawi, mfano, kuuza duka, kulima, n.k. Duniani mtu yule ataonekana amekufa na atazikwa lakini yupo katika ulimwengu usioonekana.
Watu hao ni wengi mno...maombi ya vita na yenye maarifa yakifanyika watu hawa wanaweza kutoka kwenye mashimo hayo, maana malaika wa Mungu wanakwenda kuwatoa kwenye vifungo hivyo.
Ndio maana moja ya mission ya Yesu ilikuwa ni kuwatangazia WAFUNGWA kufunguliwa kwao, hakumaanisha wafungwa wa SEGEREA alimaanisha wafungwa wa kiiroho.
Huwezi kuwakuta kwa sababu sio misukule anymore, they are as normal as anybody else. Got it?Relax!!
swali la jana lilikua hiviii, " Mkuu Step by step anahitaji msaada wa majibu
Naombeni sasa mnifahamishe maendeleo ya wale misukule je nikija kesho j2 kanisani ntawakuta?"
Nilitegemea maelezo mafupi ya maendeleo yao, na upatikanaji wake kama akifika kanisani