Mnaopinga lockdown kuna vitu mfikirie kwa mapana

Mnaopinga lockdown kuna vitu mfikirie kwa mapana

Njaa haiambukizi. Ukifa kwa njaa unakufa wewe tu. Ukifa kwa Corona unaacha umeambukiza wengine wengi na Corona yako kama familia yako, wauguzi, wasafiri wenzio n.k.
Lockdown ya hot spots kama Dar na Zenj ndio njia sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanapinga lockdown bila kuwaza kwa mapana na marefu wengine hili jambo wanalichukulia la kisiasa badala ya kutazama athari kwa nchi na maisha ya wanyonge.

Hapa vijana wengi wanakuja na hoja mfu kwamba tutakufa kwa njaa wakati wanajisahau wanazunguka kila kona kusaka hizo hela ambazo zinapelekea kulieneza hili gonjwa anbapo sasa yawezekana mtaa, kijiji,wilaya au mkoa utokao waweza kukumbwa na maambukizi mengi kupitia wewe kisha shughuli nyingi zitakwama wote mkawa wagonjwa mkajipiga lockdown ya ugonjwa bila kujijua na kupelekea vifo jambo ambalo ni hasara kwa nchi maana pesa wanazo kusanya kipindi hiki zikatumika ktk kuwakimbiza nyie wabishi mahospital.

Nafikir tuvumilie kidogo kuliko kuendelea kuusambaza huu ugonjwa serikali iamue sasa ktk hili hambo ##LOCKDOWN haikwepeki
Kungekuwa na mantiki ya kuacha wazi bila lockdown kama kungekuwa na upungufu wa maambukizi sasa yanazidi kupanda hapa tunafanya nini?

Hata hizo pesa zinazokusanywa sasa hivi zitaishia kwenye mafuta na kuhudumia wagonjwa ambapo mambo mengine bado yatasimama tu.

Vijana tuokoe watoto wazee ndugu na jamaa na sisi wenyewe tuache ubishi.

Nyie mashoga mkikaa lockdown si inatosha


Sent using IPhone X
 
Nyie mashoga mkikaa lockdown si inatosha


Sent using IPhone X
unaweza kukuta una shida ya ubongo vingine ni kusamehe tu unaweza kukuta baba yako ni shoga sasa msongo wa mawazo una kutesa
 
1589873893938.png
 
Back
Top Bottom