ndio sababu tunawaita wanga,yaani kumbe umekaa unasubiri maambukizi na vifo viongezeke kwa namna isiyovumilika ili tu tufungiwe.useme"NILISEMAAA"ONA SASA KIKO WAPII!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwanga ni wewe.
Akili yako haiwezi kuwa inafanya kazi vizuri kudhani janga hili litaondoka lenyewe.
Umeona kuna siku hali imekuwa nafuu tangu ugonjwa uingie?
Takwimu zinaonyesha kwa ujinga wetu ikiwamo kuendekeza maombi (mods wamefuta uzi wangu kuhusiana na issue ya maombezi) badala ya kupambana, hali ya ugonjwa itakuwa mbaya zaidi.
Pana wana maombi waliwahi fika JKNIA kusafiri kwa ndege bila ticket wala viza kwenda USA miaka ya nyuma. Kwao biblia tu ndiyo ilikuwa inatosha. Sote kama taifa tuliwaona kama majuha na kipigo cha polisi walikipata.
Tofauti yao na sisi leo tuliomo katika hizi ibada za siku 3 pasipo na kufanya la maana, ni nini?
Ukweli mchungu namba zitapungua kwa kuchukua hatua stahiki tu, katu si kwa maombi yanayopelekea maambukizi mengine kwenye hiyo mikusanyiko.
Hatua stahiki hamzitaki mnategemea nini?
Kwa vile wanga nyie hamtaki ugonjwa huu kudhibitiwa subirini lichanganye, Ila msiyasahau maneno yenu litakapokuwa limekolea.
Ni hivyo tu - as plain as clear.
Waweza kujiridhisha hapo chini mwanga ni nani:
View attachment 1421809