Mnaomuelewa mwenezi wa CCM mnisaidie

Mnaomuelewa mwenezi wa CCM mnisaidie

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,280
Reaction score
4,579
Huwa navutika kumfuatilia kila anapofanya mkutano wa kisiasa, matokeo yake naishia kuwa dissapointed,

Hauishi mkutano hajataja Heche, CHADEMA n.k

Wataalamu huko CCM msaidieni huyu mzee wetu

Wengine hatuna vyama vya siasa tunajitahidi kufatilia sera zenu ili tuone kama tunaweza kuwaunga mkono.
 
Huwa navutika kumfuatilia kila anapofanya mkutano wa kisiasa, matokeo yake naishia kuwa dissapointed,

Hauishi mkutano hajataja Heche, CHADEMA n.k

Wataalamu huko CCM msaidieni huyu mzee wetu

Wengine hatuna vyama vya siasa tunajitahidi kufatilia sera zenu ili tuone kama tunaweza kuwaunga mkono.
Ana mapendano na CHADEMA basi tu hana jinsi.. Mwingine ni Salum Mwalimu
 
Huwa navutika kumfuatilia kila anapofanya mkutano wa kisiasa, matokeo yake naishia kuwa dissapointed,

Hauishi mkutano hajataja Heche, CHADEMA n.k

Wataalamu huko CCM msaidieni huyu mzee wetu

Wengine hatuna vyama vya siasa tunajitahidi kufatilia sera zenu ili tuone kama tunaweza kuwaunga mkono.
Sifa ya kuwa katibu mwenezi wa CCM ni kuwa na kumbukumbu ya uwepo wa Chadema na viongozi wake, hicho ndicho hufanyika kwenye mchujo wa kumchagua.
 
Back
Top Bottom