Mnaomshabikia Rais wetu mnijibu

Mnaomshabikia Rais wetu mnijibu

Hiyo yake nayo ni kazi au kujikwamua? Halafu ambao hatuna kazi ndio tunakazana kila siku kubwabwaja "fanya kazi kwa bidii"
watu hawajui kutofautisha kati ya Job na Employment.
 
Moja nimefurahia wale wafanyakazi wengi waliokuwa na nyondo ukiemda ofisi zao, kama vile hawapo pale kukusaidia bali ujishushe sijui kuwalamba miguu ndio wakuhudumie...mfyuu zao na wanyooshwe tu...maana walikuwa wengi hawajali hata kama una haki ya kupata huduma kutoka kwao.... Na azidi kuwanyoosha wapenda kupewa pesa eti ya chai sijui nini... Hatukuwapa sasa ombeni na tuwarekodi ma simu zetu.

...lingine wale walikuwa wamadharau raia wengine kama vile wao na pesa ya wizi ni wema zaidi yako na wamafaa kuishi...sasa hivi eeeeh mwendo wa kupimana sababu zao hawana vilio..wengine gia inazidi kupanda hata kama walikuwa hawakufikiii mazo ila hawana hata unyodo tena, ila namisi nyodo zao eeeh ka vile zilikuwa za jasho lao... Nilifurahia kuwakalia kimya na nazidi kuwachora tu...watajijuuuuuuuuu...miaka ijayo waliyolimbikiza wataanza tu kuuza kwa bei cheee...nishtueni plz mkiyasikia tuyamiliki sie kujiongezea kuirahisiiiii

Kuna mengiiii...tutazidi kuheshimiama mjini hapa..na huku mikoani pia.
 
Muda wa kutumia bado,kwanza tuntafuta! Hata mwaka bado aziachieee....shikilia hapohapo baba...si tunalima huku hao wa mjini watakula midomo yao...
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Wewe umezoea kushika UKUTA, huwezi kuelewa lolote . subiri sept 1, uushike tena na utakoma mwaka huu vilainishi vimepigwa marufuku.
 
Afanye kazi gani anasubiri ajira kwenye Serikali ya viwanda wewe kuosha viatu hapo lumumba nayo unasema hapa kazi tuu.?
Hata kushika UKUTA nayo ni kazi hasa kwa mtu anayejua kubinuka kama yeye.
 
LINGANISHA nchi ilivyokuwa wakati wa Mkwere na sasa ilivyo. Taabu yenu mnafikiri kubadilisha nchi ni mazingaombwe. It takes time na viongozi wengine juhudi zao hazikuonekana mpaka baadaye sana ndiyo historia ikaja kuwakumbuka. Fanya kazi acha kulalamika...
 
mimi huwa ni mtu wa kujituma na kujitegemea tangu utoto huwa si tegemei mtu kunifanyia mambo, kwa hali hii huwa nabuni biashara nyingi sana! jitahidi usiwe mvivu wa fikra!
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Mkuu mimi sijaona mabadiriko katika maisha yangu sana sana kuna nafuu ya mshahara wangu umepanda na biashara zangu za kutotoresha vifaranga zimetengamaa baada ya umeme kuwa wa uhakika. Labda wewe ndiye utueleze umepungukiwa nini tangu aingie madarakani
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Hii ni ajabu, Kijana analalamika ugumu wa maisha ilhali kuna mzee huko Igunga ana mfurahia rais hadi anatamani kumtuza pesa Mh rais! Mi nafikiri vijana tusaidiane kupambana na maisha malalamiko hayatatufikisha popote.
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Kadhibiti mfumo wa mafisadi na waliokuwa wananufaika nao
 
Muda wa kutumia bado,kwanza tuntafuta! Hata mwaka bado aziachieee....shikilia hapohapo baba...si tunalima huku hao wa mjini watakula midomo yao...
Na baadhi ya bizaa ambazo zimezuiwa kupelekwa nchi jirani je??? Endelea kulanguliwa huko uliko.
 
Back
Top Bottom