MZALENDO ORIGINAL
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 375
- 151
MKUU UWEZI PANDA MAHINDI KWENYE MAGUGU UKATEGEMEA KUVUNA MAVUNO MAZURI,LAZIMA UYATOE MAGUGU NDO UTAVUNA MAVUNO MAZURI,NA UWEZI PANDA LEO UTEGEMEA MAVUNO LEO LEO,WEWE UNASEMA TUMEPATA FAIDA GANI,JPM ANAONDOA MAGUGU YENU YALIOKUA YANATUFANYA WATU ASA WA KIPATO CHA CHINI MAISHA KUWA MAGUMU FAIDA BAADAYE MKUU MWACHE AYAONDOE MAGUGU TUNGANE NAE PAMOJA NA WEWE,MTU MWENYEWE HATA BAJET YAKE HAIJAMALIZA NUSU MWAKA MMEANZA KUPIGA KELELE.Swali langu ni jepesi tu.....kakupa unafuu upi wewe au kakufanyia nini ? Imean mtu mmoja mmoja mf labda vitu vimepungu bei dukan au kapunguza kodi zisizo lazima et
Nijibu wwe kama wewe umepata faida gan acha kukurupuka kujibu kama hujaelewa swali! Tofauti na hivyo ntajua unawaza kwa kutumia makalio