Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?
Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?
Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo
Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao
Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?
Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo
Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao
Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?