pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Moja kwa moja kwenye mada.
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza.
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza.