Mnaolilia Bunge kuoneshwa moja kwa moja, hebu tajeni nchi zinazofanya hivyo

Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app

Angalia channels za C-SPAN. Senator anaweza kuingia bungeni peke yake na kutoa tamko lake bila hata wabunge wengie kuwapo na tamko hilo likaingia kwenye record za bunge mradi tu president na parlimentarian wa senate wawepo.
 
Angalia channels za C-SPAN. Senator anaweza kuingia bungeni peke yake na kutoa tamko lake bila hata wabunge wengie kuwapo na tamko hilo likaingia kwenye record za bunge mradi tu president na parlimentarian wa senate wawepo.
C-SPAN Hairushi kila kitu live, hairushi kila kikao cha senate na house live, huwa wanachagua. Huwezi kuonyesha Bunge lote live, that's absurd.
Na hiyo ndiyo mada.
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Jumuhiya ya madola ndio iwe role model yetu? Tujue concerns za watu sio eti nchi za wenzetu wanafanyaje,we can't make comperative political facts ambazo nikinyuma na utamaduni wetu I mean our democracy kwa mujibu wa katiba yetu.Tanzania Ni sovereignity state sio kila kinachofanyika kwa wenzetu nasi tufanye hivo wakati hakina manufaa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
South Africa Wana channel inaitwa Parliamentary service. Iko mpaka kwenye Dstv... 24/7.
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ww unataka uige mashaifu ya nchi za madola kisa hawaonyeshi live bunge lao ?
Inaonekana unapenda sana kuiga vitu vyaovyo ovyo sana hata kutaka na sisi tuige bunge la nchi zingine .
Au naww ulikuwa mmoja wapo wa wale walioandaa ule mswada hadi ukawa sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukweli ni kwamba.
Vyama vya upinzani hasa chadema haviitumii ruzuku kwa malengo husika,na hasa kuhusu uimarishaji wa chama kitaifa.

Hii ni kuanzia mashinani hadi ngazi za wilaya,mkoa na hadi Taifa.
Ni sababu hii inayopelekea mwenyekiti mbowe kuwa mkali kama mbogo kila anaposikia kuna mwanachama anataka kugombea uenyekiti wa chadema taifa.
Huenda pia huwa ni hofu ya kufukuliwa makaburi ya matumizi ya chama huko nyuma.

Sasa ukiangalia wabunge wa chadema nao kwa kuzidiwa na michango ya chama kwa kila mbunge, mingine ikiwa siyo ya hiari.
Wanashindwa au wanaona uchungu kutumia lile salio la jimbo kwa kwenda majimboni.
Na hivyo walizowea kutumia short cuts za bunge live kujifanya watetezi wa hoja, ambazo nyingi zinakuwa hazina uhusiano wa moja kwa moja na kero za wapiga kura wao majimboni.

Walizowea kutumia bunge live kujitafutia umaarufu bila kuwatumikia wapiga kura wao.

Hili ndio hasa jambo linalosababisga kelele nyingi za bunge live.

HUU NDIO UKWELI LIVE !

Na hasira zaidi ni pale JPM anapoendelea kuchanja mbuga kwa kujenga nchi bila kutumung'unya maneno.

Hasira zaidi ni pale ambapo hakuna scandal yoyote ya kuwapa kick kama mlivyozowea hapo awali, yaani hakuna IPTL,ESCROW,LIST OF SHAME nk.

Sasa hivi mmebaki kuvizia hotuba za JPM ndio mpate pa kuanzia loh! Kweli mmeshikwa pabaya...
Kazi sasa Ba-vichaa ni matusi kama walevi bar.
Shame on you....

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ww unataka uige mashaifu ya nchi za madola kisa hawaonyeshi live bunge lao ?
Inaonekana unapenda sana kuiga vitu vyaovyo ovyo sana hata kutaka na sisi tuige bunge la nchi zingine .
Au naww ulikuwa mmoja wapo wa wale walioandaa ule mswada hadi ukawa sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema kila mbunge akisimama utamsikia akitoa kauli hii " MHESHIMIWA SPIKA, HEBU TUANGALIE NCHI ZA WENZETU "

kama mnazipenda hizo nchi si muhamie huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nchi ina taratibu zake, kwa akili zako kwakuwa nchi za ulaya zinalipa posho (Unemployment Benefit) kwa waliokosa ajira hivyo nasi tulipwe ili tumalize ubishi! Acha utoto.
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa umeamua kuonesha jnsi ulivyo mpuuzi,nami nitakuchukulia hivyo hivyo. Utafiti wako uliufanyia chooni au wapi?
Tusiende mbali, jirani zetu Kenya wanarusha Bunge live. Lakini pia, labda nikuulize Madhara yatokanayo na Bunge kuwa live vs Bunge kutokuwa live!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu atakayekutajia nchi inayoonyesha Bunge live kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Hata hizo channels za mabunge hazionyeshi live kila kitu mwanzo mpaka mwisho.
Ndiyo maana unatukanwa, kwa sababu hakuna kitu kama hicho ni porojo za humu ndani ya JF.
Acha kuanika jinsi ulivyo mpuuzi na mwongo! Naangalia KBC Wanarusha Session nzima live. Naangalia SABC Wanarusha Session nzima live! Sijui unachomjaza mwenzako Ni takataka ngumu au laini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema kila mbunge akisimama utamsikia akitoa kauli hii " MHESHIMIWA SPIKA, HEBU TUANGALIE NCHI ZA WENZETU "

kama mnazipenda hizo nchi si muhamie huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona lengo hapa Ni kuendeleza uongo wenu wa Kipuuzi baada ya kuondoa Bunge live. Hayo Huwa unayaona mwenyewe? Na Kama wanayoyasema Yana tija na kwetu Basi tusiige? Kwa hiyo hicho ndicho kilichowafanya muondoe Bunge live?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba.
Vyama vya upinzani hasa chadema haviitumii ruzuku kwa malengo husika,na hasa kuhusu uimarishaji wa chama kitaifa.

Hii ni kuanzia mashinani hadi ngazi za wilaya,mkoa na hadi Taifa.
Ni sababu hii inayopelekea mwenyekiti mbowe kuwa mkali kama mbogo kila anaposikia kuna mwanachama anataka kugombea uenyekiti wa chadema taifa.
Huenda pia huwa ni hofu ya kufukuliwa makaburi ya matumizi ya chama huko nyuma.

Sasa ukiangalia wabunge wa chadema nao kwa kuzidiwa na michango ya chama kwa kila mbunge, mingine ikiwa siyo ya hiari.
Wanashindwa au wanaona uchungu kutumia lile salio la jimbo kwa kwenda majimboni.
Na hivyo walizowea kutumia short cuts za bunge live kujifanya watetezi wa hoja, ambazo nyingi zinakuwa hazina uhusiano wa moja kwa moja na kero za wapiga kura wao majimboni.

Walizowea kutumia bunge live kujitafutia umaarufu bila kuwatumikia wapiga kura wao.

Hili ndio hasa jambo linalosababisga kelele nyingi za bunge live.

HUU NDIO UKWELI LIVE !

Na hasira zaidi ni pale JPM anapoendelea kuchanja mbuga kwa kujenga nchi bila kutumung'unya maneno.

Hasira zaidi ni pale ambapo hakuna scandal yoyote ya kuwapa kick kama mlivyozowea hapo awali, yaani hakuna IPTL,ESCROW,LIST OF SHAME nk.

Sasa hivi mmebaki kuvizia hotuba za JPM ndio mpate pa kuanzia loh! Kweli mmeshikwa pabaya...
Kazi sasa Ba-vichaa ni matusi kama walevi bar.
Shame on you....

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Scandal? Jumlisha EPA, Escrow, Meremeta, Kagoda, et Al! Zote hazijafikia SCANDAL YA TSHS.1.5TRILLIONI! msidhani tumesahau!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema kila mbunge akisimama utamsikia akitoa kauli hii " MHESHIMIWA SPIKA, HEBU TUANGALIE NCHI ZA WENZETU "

kama mnazipenda hizo nchi si muhamie huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umehama kwenye hoja yako ya msingi? Kumbe wanayoyasema juu yako kuwa wewe ni KJ ni ya kweli.
Kama kila nchi ina taratibu zake, kwa nini unapinga za Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwakuwa umeamua kuonesha jnsi ulivyo mpuuzi,nami nitakuchukulia hivyo hivyo. Utafiti wako uliufanyia chooni au wapi?
Tusiende mbali, jirani zetu Kenya wanarusha Bunge live. Lakini pia, labda nikuulize Madhara yatokanayo na Bunge kuwa live vs Bunge kutokuwa live!

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kila kitu ukopi kopi na tume huru namaendeleo walionayo usiseme nakuishia bunge live ndio tuige wenzetu amini ninavyokuambia bunge live ndio limesababisha wabunge mawaziri nawatendaji wengine kuwajibika
 
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
We umewahi kutembelea nchi gani zaidi ya kutoka kijijini kwenu na kuja mjini
 
Back
Top Bottom