commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.
Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia
Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!
Karibuni....
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.
Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia
Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!
Karibuni....
Sent using Jamii Forums mobile app