Mnaolaumu mawaziri wa Magufuli mjitafakari upya

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Kuna mtazamo ambao mimi mara nyingi huwa unanishangaza sana na kwakweli huwa siuungi mkono hata kidogo.

Mtazamo huu ni ule wa kulaumu mawaziri pekee pale mambo yanapoonekana kwenda vibaya na kumuweka Raisi kando na kudai wasaidizi wake ndio tatizo na wakati mwingine watu hufikia mbali na kumshauri Raisi awaondoe baadhi ya mawaziri eti ni mizigo.

Kwa mfano watu wamekuwa wakimlaumu waziri wa utumishi kwa swala la serikali kutoajiri,kulipa madaia ya watumishi,n.k.

Sasa mimi nawauliza kwa kauli ya Raisi ya jana juu ya kutolipa stahiki za watumishu bado tu mtaendelea kumlaumu waziri pekee?

Binafsi yangu ndio maana awamu hii sioni hata umuhimu wa mabadiliko ya baraza la mawaziri japo mawaziri ndio wasaidi na washauri wa Raisi na huwa nashangaa sana tunaposhabikia tetesi za baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko maana sitarajii kipya..

Kama ni kuwalamu tuwalaumu wote tu kwa baadhi ya mambo kama hil linalohusu watumishi na suluhisho pekee ni kutowarudisha CCM madarakani mwaka 2020 maana hawa jamaa pumzi imekata ila wanachofanya kwa sasa ni kujikongoja tu.

Msema mkweli ni mpenzi wa Mungu.
 
kutowarudisha CCM madarakani mwaka 2020
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....Viongozi wote kimyaa as if BEN alikuwa si mfanyakazi wa chumbani mwa M/KITI ofisini....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Chama ambacho kila kukicha ni matamko lakini UTEKEREZAJI ni zero..rejea KATA FUNUA na UKUTA uliotangazwa juzi kupitia mkutano uliofanyika kwenye hoteli za KIFAHARI....afu kibaya hotel huwa ni ile ile miaka yote.....
Chama ambacho kina HARUFU fulani hivi ya ki UKANDA KANDA na chembe chembe za VURUGU...
Chama ambacho kila kukicha kwenda kujikomba kwa WAZUNGU.....ili iweje?????nyie mkipewa nchi si mnaweza kutuuza kabsa...Maana hilo deni mnalodaiwa mpaka sasa kupitia kujikomba komba kwa hao wazungu MTALILIPA VIPI????kama si kuwauzia NCHI yetu.....
Chama ambacho kinashindwa kuwa mfano wa DEMOKRASIA kupitia viongozi wake na pia CHAGUZI zake.....VIONGOZI ni wale wale huu ni zaidi ya UDIKTETA......uwajibikaji zero kabsa M/KITI YULE YULE mambaye kashindwa chaguzi zaidi ya NNE za uraisi STILL ATAKI wajibika kuruhusu WATU WENYE MBINU MBADALA za kupambana na CCM vilivyo......
mkubali mkatae CDM si mbadala wa CCM kwa sasa....maana CCM ni bora sana kwa sasa ukilinganisha na CDM......na ninaamini kabsa hata WAFUASI wa CDM hili mnalikubali ndani ya MIOYO yenu....SAFISHENI HICHO CHAMA ndio muwe na UJASIRI wa kusema CCM tosha.......
Chama ambacho MGOMBEA wa urais anajulikana kabsa nje ya UTARATIBU husika....NA HAKUNA KITU KINACHOENDA kuighalimu CDMA kuelekea 2020 au 2025 KUHUSU SUALA LA URAIS.....uteuzi wa mgombea urais 2015 uliharibu mpango wa muda mrefu sana wa CDM....NI SUALA LA MUDA tu....
 
Asubuhi asubuhi unaamka na kuanzisha thread kuhusu kupinga...vijana wa bavicha Magufuli atawatoa nyongo hadi kufika 2020...mnamfikiria yeye tu hahahaa shauri yenu badala ya kushika jembe mkaenda kulima nyie kubwabwaja tu na kuhororoja hata chai bado hamjanwa
 
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Watakaokuja kutoa ajira na mikopo
 
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....Viongozi wote kimyaa as if BEN alikuwa si mfanyakazi wa chumbani mwa M/KITI ofisini....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Chama ambacho kila kukicha ni matamko lakini UTEKEREZAJI ni zero..rejea KATA FUNUA na UKUTA uliotangazwa juzi kupitia mkutano uliofanyika kwenye hoteli za KIFAHARI....afu kibaya hotel huwa ni ile ile miaka yote.....
Chama ambacho kila kukicha kwenda kujikomba kwa WAZUNGU.....ili iweje?????nyie mkipewa nchi si mnaweza kutuuza kabsa...Maana hilo deni mnalodaiwa mpaka sasa kupitia kujikomba komba kwa hao wazungu MTALILIPA VIPI????kama si kuwauzia NCHI yetu.....
Umeuwaaa
 
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Unajua kusoma na kuandika tu lakini huna maarifa yoyote kichwani.Kama Rais anasema mambo bila ushahidi wa Takwimu wewe bado unaona anafaa kutuongoza!! Ni bahati mbaya sana Nchi hii wajinga na wasio jitambua ni wengi sana.
 
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....Viongozi wote kimyaa as if BEN alikuwa si mfanyakazi wa chumbani mwa M/KITI ofisini....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Chama ambacho kila kukicha ni matamko lakini UTEKEREZAJI ni zero..rejea KATA FUNUA na UKUTA uliotangazwa juzi kupitia mkutano uliofanyika kwenye hoteli za KIFAHARI....afu kibaya hotel huwa ni ile ile miaka yote.....
Chama ambacho kila kukicha kwenda kujikomba kwa WAZUNGU.....ili iweje?????nyie mkipewa nchi si mnaweza kutuuza kabsa...Maana hilo deni mnalodaiwa mpaka sasa kupitia kujikomba komba kwa hao wazungu MTALILIPA VIPI????kama si kuwauzia NCHI yetu.....
Chama ambacho kinashindwa kuwa mfano wa DEMOKRASIA kupitia viongozi wake na pia CHAGUZI zake.....VIONGOZI ni wale wale huu ni zaidi ya UDIKTETA......
mkubali mkatae CDM si mbadala wa CCM kwa sasa....maana CCM ni bora sana kwa sasa ukilinganisha na CDM......na ninaamini kabsa hata WAFUASI wa CDM hili mnalikubali ndani ya MIOYO yenu....SAFISHENI HICHO CHAMA ndio muwe na UJASIRI wa kusema CCM tosha.......

Hapana, anamaanisha CUF ndio ichukue madaraka hivyo rudi tena uanze kuorodhesha madhaifu yote unayoyafahamu ya chama cha CUF. Halafu kwanza mapungufu yote uliyoorodhesha hapo ni ya kitoto mno, hujaweza kutafakari point za muhimu zaidi ya utoto. Na isitoshe hayo uliyoandika yote yanaingia kwa hiko chama chako kilichoko madarakani.
Nikuulize tu swali dogo, hivi kwa nini kila kiongozi wa chama chako anayeingia madarakani akiweka safu ya viongozi lazima achanganye na aina ya viongozi ambao watu wanabaki midomo wazi, undugu, ukabila, ukada hata udini, vigezo ya kupewa madaraka kwa hizi nchi za kiafrika ni majanga, halafu wewe unahangaika na CDM! Mfano mzuri ni huu mjadala unaoendelea sasa hivi juu ya huyu rais wa bongo. Ana vigezo sahihi? Kingine kidunchu, hivi chama cha CCM kimejenga ofisi yake baada ya vyama vingi kuanzishwa? Usikurupuke sana dogo, tulia mmeruhusu vyama vingi msianze kujichanganya, kama vyama vya upinzani vipo basi mtegemee upinzani kila mkifanya mambo yasiyofaa
 
Mie naona labda weakness ya hao mawazi wetu ni kutochukua maamuzi ya hata KUJIHUDHURU nafasi zao kama ishara ya kutokubaliana na hii ONEMAN SHOW System inayotawala sasa.!!
 
Kuna mtazamo ambao mimi mara nyingi huwa unanishangaza sana na kwakweli huwa siuungi mkono hata kidogo.

Mtazamo huu ni ule wa kulaumu mawaziri pekee pale mambo yanapoonekana kwenda vibaya na kumuweka Raisi kando na kudai wasaidizi wake ndio tatizo na wakati mwingine watu hufikia mbali na kumshauri Raisi awaondoe baadhi ya mawaziri eti ni mizigo.

Kwa mfano watu wamekuwa wakimlaumu waziri wa utumishi kwa swala la serikali kutoajiri,kulipa madaia ya watumishi,n.k.

Sasa mimi nawauliza kwa kauli ya Raisi ya jana juu ya kutolipa stahiki za watumishu bado tu mtaendelea kumlaumu waziri pekee?

Binafsi yangu ndio maana awamu hii sioni hata umuhimu wa mabadiliko ya baraza la mawaziri japo mawaziri ndio wasaidi na washauri wa Raisi na huwa nashangaa sana tunaposhabikia tetesi za baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko maana sitarajii kipya..

Kama ni kuwalamu tuwalaumu wote tu kwa baadhi ya mambo kama hil linalohusu watumishi na suluhisho pekee ni kutowarudisha CCM madarakani mwaka 2020 maana hawa jamaa pumzi imekata ila wanachofanya kwa sasa ni kujikongoja tu.

Msema mkweli ni mpenzi wa Mungu.
Kingunge 2015-"ccm pumzi imekata"...lowasa 2015-"tutachukua nchi mapema asubuhi"...sumaye 2015-"hakuna jinsi mabadiliko lazima yatokee"...2020 ni bora kuwaachia wananchi waamue,tusijidanganye na kauli za matumaini.
 
BARAZA LA MAWAZIRI lazima lilaumiwe coz ukiona unaemshauri hashauriki kwenye wizara unayoisimamia unajihuzulu ili kuondokana na lawama
 
Tusiwarudishe CCM madarakani...???Tuwachague kina nani mabadala wa CCM????
Kwa akili zako nusu....i believe unaamini kabsa mbadala wa CCM ni CDM.....
Chama amabacho siku hizi kimekuwa ni DANGURO la waficha waovu wa NCHI HII....
Chama ambacho kinashindwa kabsa kuthamini watu wa chumbani kwake...REJEA suala la SANAANE na MWITA.....Viongozi wote kimyaa as if BEN alikuwa si mfanyakazi wa chumbani mwa M/KITI ofisini....
Chama ambacho hakina matumizi sahihi na KODI za watanzania kupitia ruzuku zetu na pia upigaji wa pesa za ruzuku kupitia kesi za kila kukicha mahakamani.......
Chama ambacho kinawapa ulinzi kina wema KUPITIA gharama za CHAMA...
Chama ambacho kinaongozwa na kiongozi mwenye kando kando wa tuhuma lukuki za ukwepaji kodi...Madawa ya kulevya...uchafuzi wa Mazingira......
Chama ambacho nafasi za ubunge zinagawiwa kwa numba ndogo tu.....
Chama Ambacho kinashindwa hata kujenga ofisi za CHAMA CHAKE kwa almost 25years old..sasa hiki chama tukikipa nchi si kitaanza kwanza kujinufaisha chenyewe kwanza then sisi badae.....Na hii mpaka kuja kutunufaisha sisi itachukua hata miaka 100......
Chama ambacho wananchi kwa sasa wanapata wakati mgumu sana kukinasua na kukitofautisha na MAFISADI.....
Chama ambacho kila kukicha ni matamko lakini UTEKEREZAJI ni zero..rejea KATA FUNUA na UKUTA uliotangazwa juzi kupitia mkutano uliofanyika kwenye hoteli za KIFAHARI....afu kibaya hotel huwa ni ile ile miaka yote.....
Chama ambacho kina HARUFU fulani hivi ya ki UKANDA KANDA na chembe chembe za VURUGU...
Chama ambacho kila kukicha kwenda kujikomba kwa WAZUNGU.....ili iweje?????nyie mkipewa nchi si mnaweza kutuuza kabsa...Maana hilo deni mnalodaiwa mpaka sasa kupitia kujikomba komba kwa hao wazungu MTALILIPA VIPI????kama si kuwauzia NCHI yetu.....
Chama ambacho kinashindwa kuwa mfano wa DEMOKRASIA kupitia viongozi wake na pia CHAGUZI zake.....VIONGOZI ni wale wale huu ni zaidi ya UDIKTETA......uwajibikaji zero kabsa M/KITI YULE YULE mambaye kashindwa chaguzi zaidi ya NNE za uraisi STILL ATAKI wajibika kuruhusu WATU WENYE MBINU MBADALA za kupambana na CCM vilivyo......
mkubali mkatae CDM si mbadala wa CCM kwa sasa....maana CCM ni bora sana kwa sasa ukilinganisha na CDM......na ninaamini kabsa hata WAFUASI wa CDM hili mnalikubali ndani ya MIOYO yenu....SAFISHENI HICHO CHAMA ndio muwe na UJASIRI wa kusema CCM tosha.......
Chama ambacho MGOMBEA wa urais anajulikana kabsa nje ya UTARATIBU husika....NA HAKUNA KITU KINACHOENDA kuighalimu CDMA kuelekea 2020 au 2025 KUHUSU SUALA LA URAIS.....uteuzi wa mgombea urais 2015 uliharibu mpango wa muda mrefu sana wa CDM....NI SUALA LA MUDA tu....
kazi ipo tena kubwa sana . kwa mtu ayeyeufaham ukweli na anadiliki kupotosha uma kama wewe unapaswa umuogope MUNGU
 
Kama msomi mzuri waziri wa katiba,anapingana na taaluma yake ili kumfurahisha bosiwake kwanini tusimlaumu??
wanafaa kulaumiwa Sana tena nao Ni wabunge lakini hawasimamii hoja za wananchi kisa mtu mmoja
 
Back
Top Bottom