Haahahahaahhahaah!๐Kwani sie tuliomix kabila tatu tunakomenti humu?
Hata Mimi nakubali kwa asilimia mia Kuna jirani yangu tumepakana naye na wamehamia karibuni tu.NAUNGA MKONO 100%.KUNA JAMAA YANGU ANA MKE MTANGA AISEE KWAKE ANA NDUGU ZA MKEWE KAMA KIJIJI AFU NDUGU WA MUME HAKUNA HATA MMOJA.
AFU WANAPENDA SHUGHULI HAOOOO
๐๐๐ Sie tukisemwa unahama kabila inayofuata tu...Haahahahaahhahaah!
Waarabu wa kipemba mna mambo hatari
Basi kwa kujisifu nyie hahaahaahahaha๐๐๐ Sie tukisemwa unahama kabila inayofuata tu...
Lakini si unajua vile hatuna comparison... Uniqueeeee...
Shetani alishindwa nini, wapi, lini kwa record tu ili nami niwe nautumia huu msemo nikiwa ninazo factsMawazo tu hakuna wakumrithisha mwanamke hata shetani alishindwa
Kwa mujibu wa siredi hii na nyie watanga mmepatikana mkuuKaka yangu kaoa mrangi hapo kwake kuna shemeji zake na watoto wao hawajulikani wataondoka lini. Ndg wa mume tulishaacha kwenda pale, bro kila siku analalamika maisha ya nyumbani kwake mbaya zaidi mke hataki kujishughulisha na chochote, alishafunguliwa biashara mbili zote zimemshinda. Huyo ni mrangi na sisi ni wazigua.
Kwa kweli hawatutakii mema, mpendwa UmeadimikaDada hawawatakiii mema hawa! ๐
Kusindavihi myangu?Kaka yangu kaoa mrangi hapo kwake kuna shemeji zake na watoto wao hawajulikani wataondoka lini. Ndg wa mume tulishaacha kwenda pale, bro kila siku analalamika maisha ya nyumbani kwake mbaya zaidi mke hataki kujishughulisha na chochote, alishafunguliwa biashara mbili zote zimemshinda. Huyo ni mrangi na sisi ni wazigua.
Utuache na Tanga yetu,umeandika uwongo.
HahahahaEh! Injinia soma hiyooooo๐
๐๐๐ Sie tukisemwa unahama kabila inayofuata tu...
Lakini si unajua vile hatuna comparison... Uniqueeeee...
Bak najua umeoa Tanga๐๐๐๐๐๐๐๐
Kwahiyo wewe mwanaume mzima unataka kufanyiwa yote hayo??kuna tofauti kati ya UBUNIFU na ulozi
wanawake wa kitanga wamejaa ubunifu
haswa kwenye sekta nzima ya mahaba na mapenzi
iko hivi mtanga anakuogesha,anakutawaza anakubeba mgongoni..full anakurembulia,,chumba full uturi na huko sita kwa sita hubaniwi..
hadi anakulisha.!
hapo kwa nini MTU asisahau huko kwao alipotoka.!
Bak najua umeoa Tanga