Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
thku idhi nimekua mtolo mtolo thaana!
So, ukiliweka tu, usisite kunitonya ili nijue wasifu wako + requirements zako!!!
I will usijali
thku idhi nimekua mtolo mtolo thaana!
So, ukiliweka tu, usisite kunitonya ili nijue wasifu wako + requirements zako!!!
Ndio naliandaa nikaweke
Hahaha....kumbe hadi leo hujaweka tu
Mhhhhh!
Jiwe limetupwa gizani na limenipata barabara!
Kuolewa is a good thing ukimpata mnaeendana na ukirizika! But kama huna uhakika why untanie Mola na junuharibia hubby maisha? Its never abt what u selfishly want rather
What you both want at the same time.
About watoi its very selfish kuzaa wakati huna maisha ya kumpa huyo mtoto!!! Mambo ya mtoto anakuja na riziki yake ni outdated.
personaly kwa rehema za Mungu I'll have just 1 kid afu nampa best of life. Untill nikiwa na hayo maisha natumia nyota ya blue kama sio pink!
Kumezuka haka katabia ka watu wenye hela au mastaa kukataa kuolewa na kuoa kwanini? mungu kakubaliki kakupa pesa kazi nzuri bado una mbwela mbwela tu bila ndoa miaka 30+,babako na mamako wangelikuwa kama wewe ungezaliwa kweli hasa hasa nyie watoto wa kike hamjui kuna kuingia menopause shauri yenu mtabaki kutamani na kubeba watoto wa wenzenu, mmebaki na kazi ya kupaka wanja na kujishebedua mjini na hivyo vimkweche vyenu endeleeni kuiga wazungu.
njoooo utuoe wewe!
Huku njiani tunakutana na mapakashume tu na waliooa tayari.
Kumezuka haka katabia ka watu wenye hela au mastaa kukataa kuolewa na kuoa kwanini? mungu kakubaliki kakupa pesa kazi nzuri bado una mbwela mbwela tu bila ndoa miaka 30+,babako na mamako wangelikuwa kama wewe ungezaliwa kweli hasa hasa nyie watoto wa kike hamjui kuna kuingia menopause shauri yenu mtabaki kutamani na kubeba watoto wa wenzenu, mmebaki na kazi ya kupaka wanja na kujishebedua mjini na hivyo vimkweche vyenu endeleeni kuiga wazungu.
Kumezuka haka katabia ka watu wenye hela au mastaa kukataa kuolewa na kuoa kwanini? mungu kakubaliki kakupa pesa kazi nzuri bado una mbwela mbwela tu bila ndoa miaka 30+,babako na mamako wangelikuwa kama wewe ungezaliwa kweli hasa hasa nyie watoto wa kike hamjui kuna kuingia menopause shauri yenu mtabaki kutamani na kubeba watoto wa wenzenu, mmebaki na kazi ya kupaka wanja na kujishebedua mjini na hivyo vimkweche vyenu endeleeni kuiga wazungu.
Waowaji wenyewe wako wapi?
Good. Ukikosa kbs ni-PM nikupe mpango mzimaNdio naliandaa nikaweke
hahahaha....!
unadhani mke au mume ni sawa na nyanya unanunua tu sokoni eeeh?
Kwani anasema uongo? Kijana kasema point c kwamba kalazimishwa, c kwamba yashampata. Mnasingizia ndoa za ck hiz no majanga mbona hata zaman majanga yalikuwepo tuu sema hayakuwa broad casted kama ck hzi. Acha woga kaoe/ kaoelewe.
mkeo kashakutoa kifungoni au bado uko probation kwenda ugenini??
Kumezuka haka katabia ka watu wenye hela au mastaa kukataa kuolewa na kuoa kwanini? mungu kakubaliki kakupa pesa kazi nzuri bado una mbwela mbwela tu bila ndoa miaka 30+,babako na mamako wangelikuwa kama wewe ungezaliwa kweli hasa hasa nyie watoto wa kike hamjui kuna kuingia menopause shauri yenu mtabaki kutamani na kubeba watoto wa wenzenu, mmebaki na kazi ya kupaka wanja na kujishebedua mjini na hivyo vimkweche vyenu endeleeni kuiga wazungu.
Waowaji wenyewe wako wapi?