Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Ukitaka kujua alipo muulize mkuu wake wa mkoa maana yule jamaa siunajua anatuhuma inawezekana alipo m/kiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa anajua
Acha uongo wewe! Gwajima yuko Japan anatoa huduma ya kiroho huko na shughuli zinaonyeshwa online mitandaoni.
Kwa taarifa yako akitoa mhadhara wa SAA moja mpaka mawili analipwa kati ya dola laki moja mpaka mbili, halafu akiwa na Pesa mnamsingizia madawa.
Acha upoyoyo !!! Katoka Germany yupo JapanKapigwa ' Pini ' moja Kali sana na ya ' Kimafia '.
Acha upoyoyo !!! Katoka Germany yupo Japan
Nadhani itakuwa umeukalia mti naona unatoa lugha zisizo eleweka .....Bila shaka Wewe ni Mkewe au Mrs Mahelikopta.
Kwani hukusikia kama alisafiri kwenye Ujerumani? Yule ni Doctor of Theology. Ana mapindi vyuo vikuu vya mashariki ya mbaliHabari wanajamvi.
Mchungaji Gwajima alikuwa ana make headlines katika vyombo vya habari hapa nchi kama miezi kadhaa hivi huko nyuma. Cha kushangaza sasa hivi amepotea. Je amesafiri au anamatatizo ya kiafya? Miliopo huku mjini ambao wengi mliacha makanisa yenu makaenda kwa Gwajima na baadhi wa walibadili dini kwa muda na kuamia kwa Gwajima, mtusaidie kujua huyu kiongozi wetu mpendwa kimemsibu nini? Hatupati neno la Bwana siku hizi katka vyombo vya habari na sisi tupo mikoani hatuna uwezo wa kuhudhuria kanisani kwake. Na nyie waumini wake inakuwaje mnamtenga tena mchungaji wetu, endeleeni kwenda tu kanisani na mturushie mahubiri ya kila jumapili.
Umenisaidia kumjibuHayupo mjini . Yupo nchi za watu anaendelea kutoa huduma za kiroho..
Usisahau kuanzisha na uzip mwingine ukimuulizia Harmorapa..
Huko anahubiri Hiroshima na Kumamoto.Vizuri sana. Tunaomba muendelee kuturushia mahubili yake huko. Dah siju Japan nako bashite wanamjua au huko anahubiri tofauti?
acha kupotosha Gwajima yupo ziarani nchini Japan na semina na mikutano anayofanya inaruka live kwenye You tube chanellKapigwa ' Pini ' moja Kali sana na ya ' Kimafia '.
acha kupotosha Gwajima yupo ziarani nchini Japan na semina na mikutano anayofanya inaruka live kwenye You tube chanell