Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,687
- 8,600
Habari wanajamvi.
Mchungaji Gwajima alikuwa ana make headlines katika vyombo vya habari hapa nchi kama miezi kadhaa hivi huko nyuma. Cha kushangaza sasa hivi amepotea.
Je amesafiri au ana matatizo ya kiafya? Miliopo huku mjini ambao wengi mliacha makanisa yenu mkaenda kwa Gwajima na baadhi kubadili dini kwa muda na kuhamia kwa Gwajima naomba mtusaidie kujua huyu kiongozi wetu mpendwa kimemsibu nini.
Hatupati neno la Bwana siku hizi katka vyombo vya habari na sisi tupo mikoani hatuna uwezo wa kuhudhuria kanisani kwake. Na nyie waumini wake inakuwaje mnamtenga tena mchungaji wetu, endeleeni kwenda tu kanisani na mturushie mahubiri ya kila Jumapili.
Mchungaji Gwajima alikuwa ana make headlines katika vyombo vya habari hapa nchi kama miezi kadhaa hivi huko nyuma. Cha kushangaza sasa hivi amepotea.
Je amesafiri au ana matatizo ya kiafya? Miliopo huku mjini ambao wengi mliacha makanisa yenu mkaenda kwa Gwajima na baadhi kubadili dini kwa muda na kuhamia kwa Gwajima naomba mtusaidie kujua huyu kiongozi wetu mpendwa kimemsibu nini.
Hatupati neno la Bwana siku hizi katka vyombo vya habari na sisi tupo mikoani hatuna uwezo wa kuhudhuria kanisani kwake. Na nyie waumini wake inakuwaje mnamtenga tena mchungaji wetu, endeleeni kwenda tu kanisani na mturushie mahubiri ya kila Jumapili.