USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Watanzania walisha tahadharishwa kuwa viongozi wa CDM ni wazinzi lakini hawakusikia sasa ndio wanaona matokeo,huyu dada angetoa mambo basi huko mbeleni ubunge ulikua wazi kabisa.
kwani mliyomfanyia yulee dada apate viti maalum mlicopy cdm?