mtunzasiri
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 1,446
- 985
Wasichana wa kazi hupewa wosia toka makwao.
Binti anapewa wosia kabla ya kwenda mjini kufanya kazi za ndani
WOSIA WA MAMA KWA BINTI YAKE ANAYEENDA KUFANYA KAZI YA UHOUSE GIRL
Mama 1. Asha mwanangu umepata bahati ya kwenda mjini sasa lazima utubadilishie maisha wazazi wako ucpofanya tunayokuambia utaishia kurudi kijiji kulima.
Mama 2
Ww ndo mke halali wa bosi wako kwahiyo ukifika uko chakarika mwanangu umpate mumeo, hakikisha kazi zote za mke unazifanya mtengee maji ya kuoga, mfulie na kunyoosha nguo zake, mpe pole hatakama katoka kuoga, mwambie maneno laini
Mama 3
Wanawake wa mjini wavivu akipata mimba tu anaenda kwao wngne hawataki hata kuguswa na waume zao mwanangu huo ndo wakati wakumpata mumeo hakikisha unampa haki zote za mume tumia ujuzi wote wa jandoni ili umpate.
Mama 4
Wagombanishe kwa nguvu zako zote mfano siku mke akipika wewe vizia utie chumvi nyingi ili tu mume aone wewe ni bora kuliko mkewe.
Mama 5
Ukifika mjini hakuna mwanaume wa kukuoa zaidi ya boss wako au mwanae sasa kajikute mpole utarudi kijijini umezeeka na wenzio wote utawakuta wameolewa.
Binti anapewa wosia kabla ya kwenda mjini kufanya kazi za ndani
WOSIA WA MAMA KWA BINTI YAKE ANAYEENDA KUFANYA KAZI YA UHOUSE GIRL
Mama 1. Asha mwanangu umepata bahati ya kwenda mjini sasa lazima utubadilishie maisha wazazi wako ucpofanya tunayokuambia utaishia kurudi kijiji kulima.
Mama 2
Ww ndo mke halali wa bosi wako kwahiyo ukifika uko chakarika mwanangu umpate mumeo, hakikisha kazi zote za mke unazifanya mtengee maji ya kuoga, mfulie na kunyoosha nguo zake, mpe pole hatakama katoka kuoga, mwambie maneno laini
Mama 3
Wanawake wa mjini wavivu akipata mimba tu anaenda kwao wngne hawataki hata kuguswa na waume zao mwanangu huo ndo wakati wakumpata mumeo hakikisha unampa haki zote za mume tumia ujuzi wote wa jandoni ili umpate.
Mama 4
Wagombanishe kwa nguvu zako zote mfano siku mke akipika wewe vizia utie chumvi nyingi ili tu mume aone wewe ni bora kuliko mkewe.
Mama 5
Ukifika mjini hakuna mwanaume wa kukuoa zaidi ya boss wako au mwanae sasa kajikute mpole utarudi kijijini umezeeka na wenzio wote utawakuta wameolewa.